The Counseller.
Member
- Aug 13, 2015
- 94
- 75
haya Mambo magumu sana, yote hayo uliyosema nayaona ya kawaida sana na sioni ajabu. Cha ajabu ni hicho cha kujikuta uchi wakati hukuvua nguo. Sio kwamba ulivua lakini ukasahau kweli boss?
Hebu niambie, Huwa unakunywa pombe?
mshanajr na MziziMkavu ebu njooni kama mnalo suluhisho la huyu ndugu
Pole bibie kwa kuandamwa na kuchezewa mchezo na hao wachawi na nyumba yako ipo nyepesi ndio maana hao wachawi wanaweza kuingia mpaka ndani wamemla mwanao sasa wanataka kukumaliza na wewe pia. Mimi nitakusaidia dawa ndogo ya kuwakomesha kisha ukitaka dawa kubwaBaada ya kufiwa na mwanangu mwenye umri wa siku mbili katika mazingira ya utata, takribani wiki 3 zilizopita,niliamua kukaa karibu na Mungu ili nisije kuanza kuwatwanga risasi watu wote ninao wahisi kuwa wachawi ktk eneo hili la Maswa, maombi ya nguvu nikishirikisha watumishi mbali mbali wa Mungu yalianza.
Wiki moja baadae asubuhi nikakuta nyayo kubwa kama ngumi ya mtu mzima za fisi ama simba zikiwa zimeizunguka nyumba yangu na katika dirisha la chumba changu nje palikuwa pamekwaruzwa kwa nyayo zile sambamba na alama za raba za mtu aliyekuwa kasimama dirishani.
Kabla ya kufiwa na mwanangu wakati mke wangu akiwa mjamzito nilikuta alfajiri saa 12 kinyesi cha binadamu mlangoni kwangu,Leo hii alfajiri saa 11 nimeshtuka na kujikuta nikiwa uchi kitandani wakati nililala na nguo,nilianza kusali na kuzizingira nguo hizo kwa damu ya Yesu,dk 5 baada ya kumaliza maombi paka akaanza kulia nje ya dirisha la chumba changu kwa sauti hafifu sana,nikamkea na kisha akatoweka ghafla.
Ole wenu wachawi nitawashinda ktk ulimwengu wa roho.
Baada ya kufiwa na mwanangu mwenye umri wa siku mbili katika mazingira ya utata, takribani wiki 3 zilizopita,niliamua kukaa karibu na Mungu ili nisije kuanza kuwatwanga risasi watu wote ninao wahisi kuwa wachawi ktk eneo hili la Maswa, maombi ya nguvu nikishirikisha watumishi mbali mbali wa Mungu yalianza.
Wiki moja baadae asubuhi nikakuta nyayo kubwa kama ngumi ya mtu mzima za fisi ama simba zikiwa zimeizunguka nyumba yangu na katika dirisha la chumba changu nje palikuwa pamekwaruzwa kwa nyayo zile sambamba na alama za raba za mtu aliyekuwa kasimama dirishani.
Kabla ya kufiwa na mwanangu wakati mke wangu akiwa mjamzito nilikuta alfajiri saa 12 kinyesi cha binadamu mlangoni kwangu,Leo hii alfajiri saa 11 nimeshtuka na kujikuta nikiwa uchi kitandani wakati nililala na nguo,nilianza kusali na kuzizingira nguo hizo kwa damu ya Yesu,dk 5 baada ya kumaliza maombi paka akaanza kulia nje ya dirisha la chumba changu kwa sauti hafifu sana,nikamkea na kisha akatoweka ghafla.
Ole wenu wachawi nitawashinda ktk ulimwengu wa roho.
haya Mambo magumu sana, yote hayo uliyosema nayaona ya kawaida sana na sioni ajabu. Cha ajabu ni hicho cha kujikuta uchi wakati hukuvua nguo. Sio kwamba ulivua lakini ukasahau kweli boss?
Hebu niambie, Huwa unakunywa pombe?
Baada ya kufiwa na mwanangu mwenye umri wa siku mbili katika mazingira ya utata, takribani wiki 3 zilizopita,niliamua kukaa karibu na Mungu ili nisije kuanza kuwatwanga risasi watu wote ninao wahisi kuwa wachawi ktk eneo hili la Maswa, maombi ya nguvu nikishirikisha watumishi mbali mbali wa Mungu yalianza.
Wiki moja baadae asubuhi nikakuta nyayo kubwa kama ngumi ya mtu mzima za fisi ama simba zikiwa zimeizunguka nyumba yangu na katika dirisha la chumba changu nje palikuwa pamekwaruzwa kwa nyayo zile sambamba na alama za raba za mtu aliyekuwa kasimama dirishani.
Kabla ya kufiwa na mwanangu wakati mke wangu akiwa mjamzito nilikuta alfajiri saa 12 kinyesi cha binadamu mlangoni kwangu,Leo hii alfajiri saa 11 nimeshtuka na kujikuta nikiwa uchi kitandani wakati nililala na nguo,nilianza kusali na kuzizingira nguo hizo kwa damu ya Yesu,dk 5 baada ya kumaliza maombi paka akaanza kulia nje ya dirisha la chumba changu kwa sauti hafifu sana,nikamkea na kisha akatoweka ghafla.
Ole wenu wachawi nitawashinda ktk ulimwengu wa roho.