Wachangiaji wengi kwenye hili Jukwaa

Wachangiaji wengi kwenye hili Jukwaa

Jackal

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
10,258
Reaction score
14,103
Napenda kuuliza kwanini wanaoleta thread wengi kwenye hili jukwaa huwa ni wanaume? Wanawake wengi wanakuwa wanaona aibu au inakuwaje? Hebu mwenye mawazo yake tafadhali atupe hapa.
 
Same reason you posted this.

Nimefuatilia kwa muda nimeona wanawake wengi hawapost hapa issue zao. Huenda wanaona aibu labda wanapotezea, yapite tu!
 
Jackal

Kwa jinsi Afrika mfumo dume ulivyokithiri,wanawake huwa ni waathirika zaidi wa mahusiano kuliko wanaume. Lakini naona hawapost sana issue zao kulinganisha na wanaume!
 
Last edited by a moderator:
Kwa jinsi Afrika mfumo dume ulivyokithiri,wanawake huwa ni waathirika zaidi wa mahusiano kuliko wanaume. Lakini naona hawapost sana issue zao kulinganisha na wanaume!

Kwa sababu wanajua Ku handle issues zao kiutu uzima tofauti na wanaume walio wengi hawajiamini.
 
Kwa jinsi Afrika mfumo dume ulivyokithiri,wanawake huwa ni waathirika zaidi wa mahusiano kuliko wanaume. Lakini naona hawapost sana issue zao kulinganisha na wanaume!

Inashangaza pamoja na mfumo dume bado wanaume mnalialia humu.
 
Nimefuatilia kwa muda nimeona wanawake wengi hawapost hapa issue zao. Huenda wanaona aibu labda wanapotezea, yapite tu!
Most men of our generation are feminine, weak and striving for attention.
 
Kwa jinsi Afrika mfumo dume ulivyokithiri,wanawake huwa ni waathirika zaidi wa mahusiano kuliko wanaume. Lakini naona hawapost sana issue zao kulinganisha na wanaume!

Kwa sababu wanawake wengi wameAcept changamoto za ndoa na mahusiano kwa ujumla tofauti kwa sisi wanaume.Tukiwacheat yanaisha faster ila tukicheatiwa patachimbika na mahusiano yataisha
 
kupost sio ishu....ishu ni nini anachopost.....
MI-THREAD MINGI HUMU NI STORY ZA KUTUNGA, AKILI ZA KITOTO, NONSENSE, threads za maana ni chache sana.
na bahati mbaya sana hawahawa men wenzangu ndio wanaoleta nyuzi za hovyohovyo yani mpaka inakera.
 
Kwa sababu wanawake wengi wameAcept changamoto za ndoa na mahusiano kwa ujumla tofauti kwa sisi wanaume.Tukiwacheat yanaisha faster ila tukicheatiwa patachimbika na mahusiano yataisha


Sio kwamba wanawake wengi ni kubali yaishe na wepesi wa kusamehe?
 
kupost sio ishu....ishu ni nini anachopost.....
MI-THREAD MINGI HUMU NI STORY ZA KUTUNGA, AKILI ZA KITOTO, NONSENSE, threads za maana ni chache sana.
na bahati mbaya sana hawahawa men wenzangu ndio wanaoleta nyuzi za hovyohovyo yani mpaka inakera.

Yaani hadi aibu.
 
kupost sio ishu....ishu ni nini anachopost.....
MI-THREAD MINGI HUMU NI STORY ZA KUTUNGA, AKILI ZA KITOTO, NONSENSE, threads za maana ni chache sana.
na bahati mbaya sana hawahawa men wenzangu ndio wanaoleta nyuzi za hovyohovyo yani mpaka inakera.

Humu wavulana wengi kuliko wanaume. Ila nao wanajifanya wanaume.
 
Back
Top Bottom