vipo ndungu yangu, usibishane kwa kitu usichokijua. Ni vizuri mtu ukafanya research kabla hujabisha. hivyo viazu huwa vinazaa juu na chini, vya juu ni vichungu mostly ila vya chini nu vitamu alafu ni vya njano. Ntafanya utafiti kama vinapatikana uchagan tu