hekagongoo
Member
- Apr 10, 2014
- 80
- 21
Wanadumisha mila
Pambaf ..kwa walioangalia tbc1 leo, yaani ilikuwa aibu. wachaga wanaokataa kila siku kuwa mwisho wa mwaka huwa wanaenda kutambika, leo tbc1 imeonyesha wakiwahoji walioko kule wakila kisusio, na wakisema wazi kuwa usipoenda kwenye matambiko matatizo yatakupata. wanasema wamekuwa na desturi hiyo miaka yote na hawawezi kuacha. kwa walioangalia tbc leo ilikuwa aibu jamani. kumbe huwa wanaenda kutambika na usipotambika kula ivyo visusio wanasema hata ukishika hela haikai. haya sasa. kwa wale waandishi wa habari au watu waliorekodi wakati tv inaongea naombeni muweke ile clip hapa ili shetani wa mamizimu aaibike.
Kill 3 utakua una mimba
Matambiko yote ya kimila ni imani za kichawi
Kumbe jf kina wachaga wengi sana!!
Inafikiri mazuzu ya Chadema ni kabila gani?
Kumbe jf kina wachaga wengi sana!!
Inafikiri mazuzu ya Chadema ni kabila gani?
Mkuu Mokoyo subiri kidogo uzi ujae tuhesabu comments.
wapo wangapi?
Hapo nimepata picha mkuu kwanini wanakuja juu kuitetea saccos yao.
haya bana ila waache ni wakwe zangu
Asa aibu iko wapi mbona hizi dini zimekuja juzi tu na saivi kuna hadi maaskofu mashoga sasa unashangaa nn kutambika wanaoliwa tigo huoni tatizo
nenda kampikie mumeo msalani