Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,149
Wapendwa
Mashemeji zangu mabbibib na mabwana,Kwanza nawapongeza kwa nyimbo zenu zinavyopendeza na
haswa jinsi mnavyocheza kwa kweli ukiangalia nyimbo za wahaya wasukuma hata kama una hela zinadondoka njiani wanavyojirusha lakii zetu naona mmeamua kushikana mikono ingawa nimeambiwa src ilikuwa ni wizi ati hapo nyumamashemeji mkijirusha watu wanapiga finga mifukoni....la hasha hii njia mbadala ni nzuri na inapendeza
Ila leo niko kuwaomnya wachaga mashemeji zangu jamani punguzeni kuwaacha wake zenu migombani ama hata mkiwa hapa mmekuwa na tabia ya kuona mkewenu wa migomban anaitaji wa mjini mwisho utatafuta wa midizini..nuichuo iyo ..kwa kweli dunia ni mbaya mashemeji tuacheni jamani tuwwapende wake zetu hata kama wanatoka kiraracha kama mzee wetu ALM alivyoamua kufa na mkewe mpaka anaarudi ulingoni leo kula shangingi lingine...
Embu ule wimbo wa le ule ulele ulele uleleelee tuufanyie kazi na kwenye ndoa nikimaanisha shika shikana na nyie wake msikubali ovyo waume zenu wanarudi sa sita saba kila siku acheni ujinga komaeni nae siku moja na wee nenda kakae getini ,,,mwnzio kaamua kunywaa bia amechoka na
KITOCHIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
Kazi kwako mama wa vitochi
Mashemeji zangu mabbibib na mabwana,Kwanza nawapongeza kwa nyimbo zenu zinavyopendeza na
haswa jinsi mnavyocheza kwa kweli ukiangalia nyimbo za wahaya wasukuma hata kama una hela zinadondoka njiani wanavyojirusha lakii zetu naona mmeamua kushikana mikono ingawa nimeambiwa src ilikuwa ni wizi ati hapo nyumamashemeji mkijirusha watu wanapiga finga mifukoni....la hasha hii njia mbadala ni nzuri na inapendeza
Ila leo niko kuwaomnya wachaga mashemeji zangu jamani punguzeni kuwaacha wake zenu migombani ama hata mkiwa hapa mmekuwa na tabia ya kuona mkewenu wa migomban anaitaji wa mjini mwisho utatafuta wa midizini..nuichuo iyo ..kwa kweli dunia ni mbaya mashemeji tuacheni jamani tuwwapende wake zetu hata kama wanatoka kiraracha kama mzee wetu ALM alivyoamua kufa na mkewe mpaka anaarudi ulingoni leo kula shangingi lingine...
Embu ule wimbo wa le ule ulele ulele uleleelee tuufanyie kazi na kwenye ndoa nikimaanisha shika shikana na nyie wake msikubali ovyo waume zenu wanarudi sa sita saba kila siku acheni ujinga komaeni nae siku moja na wee nenda kakae getini ,,,mwnzio kaamua kunywaa bia amechoka na
KITOCHIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
Kazi kwako mama wa vitochi