Wabunge wote wa Upinzani yaani UKAWA, watoka bungeni

Kesho ikiwezekana wafanye kama wa huko majuu nilisikia waliamua KUKAA CHINI hahahahahahaaahaha ahsante Mungu nakupenda nchi yangu Tanzania kuliko Ubwabwa
 
Wabunge wa Ccm wangejua maana ya uwakilishi wangemuuliza PM kwanini haingilii hii hali. Wao ni kuongea rojo tu
Wabunge wa Ccm wangejua maana ya uwakilishi wangemuuliza PM kwanini haingilii hii hali. Wao ni kuongea rojo tu
Tayari wanalalamika Executive kuingilia mihinili mingine hauoni PM akitaka kuingilia kati atakuwa anatekeleza yale yale ambayo watu wanalalamikia, hilo lipo katika muhimili wa bunge yeye anaanzaje?
 
Naamini siasa zile za kususa ili ubembelezwe hazipo tena.ukawa wafaham hili MAGUFULI misimamo yake haiyumbishwagi.watu wa kigamboni wanamtambua aliwaambia wapige mbizi kama hawana pesa
 
Tayari wanalalamika Executive kuingilia mihinili mingine hauoni PM akitaka kuingilia kati atakuwa anatekeleza yale yale ambayo watu wanalalamikia, hilo lipo katika muhimili wa bunge yeye anaanzaje?
Pm ni kiongozi wa shughuli za serikali bungeni, pia yy ni mbunge senior anamamlaka ya kuitisha pande zote mbili na kutafuta chanzo. Hili linalofanyika sasa ni kuona bora Tulia kuliko uwakilishi wa wananchi
 
wewe hilo sio bunge ni kikao cha ccm yaani bajeti inapitishwa na wanachama wa kijani vichekesho nchi hii
Sasa ulitaka ipitishwe na KINA NANI ili hali hao uliowatuma wanagoma????Hii ina maana ya KWAMBA hawajaona thamani ya ulichowatuma huko ILA SISI THAMANI YA TULIOWATUMA HUKO wamekitekeleza...SASA acha kulalamika
 
Naamini siasa zile za kususa ili ubembelezwe hazipo tena.ukawa wafaham hili MAGUFULI misimamo yake haiyumbishwagi.watu wa kigamboni wanamtambua aliwaambia wapige mbizi kama hawana pesa
Tangu lini magufuli akawa speaker?au tulia anafanya kwa hisani??
 
Yaani waamke
Wabunge wa Ccm wangejua maana ya uwakilishi wangemuuliza PM kwanini haingilii hii hali. Wao ni kuongea rojo tu
Yaani wajiandae, waende bungeni, alafu watoke, hata bila kufukuzwa, washinde kwenye ma baa bado tunawatetea? Na sisi tutakuwa na kasoro vichwani mwetu
 
Back
Top Bottom