Wabunge wote wa Covid 19 ni mizoga ya kisiasa, hawauziki popote, wanasaka kichaka cha kisiasa cha kuwazika kisiasa kwa heshima

Wabunge wote wa Covid 19 ni mizoga ya kisiasa, hawauziki popote, wanasaka kichaka cha kisiasa cha kuwazika kisiasa kwa heshima

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
12,151
Reaction score
44,071
Kwa sasa kama kuna wanasiasa wasioleweka, wasioweza kuaminika au kukubalika popote, basi kundi la wabunge wa Covid 19 ndio kinara. Kisiasa ni kama wamechanganyikiwa hivi, hawajui pakushika na hawajui pakuacha, chochote kilichopo mbele yao chenye kutoa mwanga wa matumaini wa maisha yao ya kisiasa wanakikimbilia. Hapa ni mifano halisi ya namna wanavyoweweseka.

1. Baadhi yao walianza kujiambatanisha na harakati za Mbowe wakati ule akiwa anataka kutetea kiti cha uenyekiti wa Chadema, aliposhindwa wakatemana naye kimya kimya!

2. Wengine wakaamua kujiambatanisha na Lissu mara tu aliposhinda uenyekiti wa CHADEMA, Lissu alipoanza kukomaa na No Reform No Election wakapotelea mitini kimya kimya.

3. Wapo wengine wakaibukia kwenye lile genge la watia nia wa CHADEMA lililojipashika jina la G55, ngoma ilipokuwa ngumu kwa hilo kundi baada ya kusambaratishwa na CHADEMA nao wakapotelea mitini.

4. Wengine wakaibukia na harakati za CHAUMA, kelele za Chauma zilizopoanza kupoa na kusahaulika nao kimya kimya wakapotea kusikojulikana.

5. Wengine wakajipa matumaini ya kukimbilia kwa Zitto Kabwe kule ACT, nako wamekaa kimtego kimtego, wachache mnoo wamejiunga huko lakini ni kama hawaai kama kuna kutoboa. Dakika yoyote wanaweza kukiamsha.

6. Wengine bila aibu, wakaamua kuunga mkono juhudi, wamehamia CCM na bila kupima kina cha maji mbio mbio wamekimbilia kuchukua fomu za kuomba kugombea ubunge.
 
Kwa sasa kama kuna wanasiasa wasioleweka, wasioweza kuaminika au kukubalika popote, basi kundi la wabunge wa Covid 19 ndio kinara. Kisiasa ni kama wamechanganyikiwa hivi, hawajui pakushika na hawajui pakuacha, chochote kilichopo mbele yao chenye kutoa mwanga wa matumaini wa maisha yao ya kisiasa wanakikimbilia. Hapa ni mifano halisi ya namna wanavyoweweseka.

1. Baadhi yao walianza kujiambatanisha na harakati za Mbowe wakati ule akiwa anataka kutetea kiti cha uenyekiti wa Chadema, aliposhindwa wakatemana naye kimya kimya!

2. Wengine wakaamua kujiambatanisha na Lissu mara tu aliposhinda uenyekiti wa CHADEMA, Lissu alipoanza kukomaa na No Reform No Election wakapotelea mitini kimya kimya.

3. Wapo wengine wakaibukia kwenye lile genge la watia nia wa CHADEMA lililojipashika jina la G55, ngoma ilipokuwa ngumu kwa hilo kundi baada ya kusambaratishwa na CHADEMA nao wakapotelea mitini.

4. Wengine wakaibukia na harakati za CHAUMA, kelele za Chauma zilizopoanza kupoa na kusahaulika nao kimya kimya wakapotea kusikojulikana.

5. Wengine wakajipa matumaini ya kukimbilia kwa Zitto Kabwe kule ACT, nako wamekaa kimtego kimtego, wachache mnoo wamejiunga huko lakini ni kama hawaai kama kuna kutoboa. Dakika yoyote wanaweza kukiamsha.

6. Wengine bila aibu, wakaamua kuunga mkono juhudi, wamehamia CCM na bila kupima kina cha maji mbio mbio wamekimbilia kuchukua fomu za kuomba kugombea ubunge.
Wale ni machangu tu, washazoea kuchezewa na wabunge wenzao hivyo hawana la kufanya zaidi ya kurudi bungeni kwenda kuchezeana na wenzao waambukizane maradhi.
 
So far, hao wabunge hawakuwa na Chama. Ni nguvu ya Mahakama ndio iliwaacha Bungeni. Chama Chao Cha awali kilishawavua uanachama. Ni Haki Yao kwenda wanapotaka wakati wowote kama wachezaji huru.
 
Huku niliko watu Ka hao tunawaita ma "CHOKO''
 
Write your reply...ukiachana na mwanamke usianze kumsengenya utaonekana shoga
 
Kwa sasa kama kuna wanasiasa wasioleweka, wasioweza kuaminika au kukubalika popote, basi kundi la wabunge wa Covid 19 ndio kinara. Kisiasa ni kama wamechanganyikiwa hivi, hawajui pakushika na hawajui pakuacha, chochote kilichopo mbele yao chenye kutoa mwanga wa matumaini wa maisha yao ya kisiasa wanakikimbilia. Hapa ni mifano halisi ya namna wanavyoweweseka.

1. Baadhi yao walianza kujiambatanisha na harakati za Mbowe wakati ule akiwa anataka kutetea kiti cha uenyekiti wa Chadema, aliposhindwa wakatemana naye kimya kimya!

2. Wengine wakaamua kujiambatanisha na Lissu mara tu aliposhinda uenyekiti wa CHADEMA, Lissu alipoanza kukomaa na No Reform No Election wakapotelea mitini kimya kimya.

3. Wapo wengine wakaibukia kwenye lile genge la watia nia wa CHADEMA lililojipashika jina la G55, ngoma ilipokuwa ngumu kwa hilo kundi baada ya kusambaratishwa na CHADEMA nao wakapotelea mitini.

4. Wengine wakaibukia na harakati za CHAUMA, kelele za Chauma zilizopoanza kupoa na kusahaulika nao kimya kimya wakapotea kusikojulikana.

5. Wengine wakajipa matumaini ya kukimbilia kwa Zitto Kabwe kule ACT, nako wamekaa kimtego kimtego, wachache mnoo wamejiunga huko lakini ni kama hawaai kama kuna kutoboa. Dakika yoyote wanaweza kukiamsha.

6. Wengine bila aibu, wakaamua kuunga mkono juhudi, wamehamia CCM na bila kupima kina cha maji mbio mbio wamekimbilia kuchukua fomu za kuomba kugombea ubunge.
Wangekuwa na akili wange Baki Chadema au huko chauma, kwenda sisiemu kumewaharibia haiba Yao hivyo hawatochagulika kokote.
 
Hao washapotea kisiasa wao wanafikiri watanzania ni wajinga wasiotambua chochote wanachekesha sana bora Halima Mdee anapima Upepo. Nilimskia Bulaya anasema kwamba alikua chadema kwa mkopo nikaona huyu Dada anachukulia watanzania wote mazezeta hajui now watanzania wameamka ndo maana Wana Hoji deni la Taifa
 
So far, hao wabunge hawakuwa na Chama. Ni nguvu ya Mahakama ndio iliwaacha Bungeni. Chama Chao Cha awali kilishawavua uanachama. Ni Haki Yao kwenda wanapotaka wakati wowote kama wachezaji huru.
Bungeni walikaa kama chama gani kama walivuliwa uanachama?au kuna independent candidates Tanzania?
Ila uki angalia hii project kwa kina ilikuwa ya mwamba na ange shinda uenyekiti hawa walikuwa wanarudi chamani vizuri tu
 
Kwa sasa kama kuna wanasiasa wasioleweka, wasioweza kuaminika au kukubalika popote, basi kundi la wabunge wa Covid 19 ndio kinara. Kisiasa ni kama wamechanganyikiwa hivi, hawajui pakushika na hawajui pakuacha, chochote kilichopo mbele yao chenye kutoa mwanga wa matumaini wa maisha yao ya kisiasa wanakikimbilia. Hapa ni mifano halisi ya namna wanavyoweweseka.

1. Baadhi yao walianza kujiambatanisha na harakati za Mbowe wakati ule akiwa anataka kutetea kiti cha uenyekiti wa Chadema, aliposhindwa wakatemana naye kimya kimya!

2. Wengine wakaamua kujiambatanisha na Lissu mara tu aliposhinda uenyekiti wa CHADEMA, Lissu alipoanza kukomaa na No Reform No Election wakapotelea mitini kimya kimya.

3. Wapo wengine wakaibukia kwenye lile genge la watia nia wa CHADEMA lililojipashika jina la G55, ngoma ilipokuwa ngumu kwa hilo kundi baada ya kusambaratishwa na CHADEMA nao wakapotelea mitini.

4. Wengine wakaibukia na harakati za CHAUMA, kelele za Chauma zilizopoanza kupoa na kusahaulika nao kimya kimya wakapotea kusikojulikana.

5. Wengine wakajipa matumaini ya kukimbilia kwa Zitto Kabwe kule ACT, nako wamekaa kimtego kimtego, wachache mnoo wamejiunga huko lakini ni kama hawaai kama kuna kutoboa. Dakika yoyote wanaweza kukiamsha.

6. Wengine bila aibu, wakaamua kuunga mkono juhudi, wamehamia CCM na bila kupima kina cha maji mbio mbio wamekimbilia kuchukua fomu za kuomba kugombea ubunge.
Acheni wivu wa kike.Hao ni wanachama wa chadema wameamua kuhamia vyama vingine.Ni haki yao
 
Back
Top Bottom