Wabunge wetu na lugha ya kigeni (AUDIO)

Wabunge wetu na lugha ya kigeni (AUDIO)

Kuvunja yai sio mchezo, unahitaji ulimi unaojua sarakasi zakutosha tu!
Cribs and a professionally political science enterprises, am a nec within CUF...!
 
Haaaaaaa Du huyo mbunge aliolizwa swali la mvunjiko wa ea community kajiuma sana ila mwisho funga kazi rose mwalusamba ni nomaaa hevingi hevingi noleji in politiko andeli I'm politishian na deile bledi.
 
wabunge wetu wana kipaji kwelikweli, hasa rose mwalusamba, cuf mbeya

dizaini ya watu kama hawa, wapo hata mawaziri ambao kila kukicha wao huingia mikataba mibovu, lugha hawaijui mwisho wa siku inatugharimu watanzania.
 
Haaaaaaa Du huyo mbunge aliolizwa swali la mvunjiko wa ea community kajiuma sana ila mwisho funga kazi rose mwalusamba ni nomaaa hevingi hevingi noleji in politiko andeli I'm politishian na deile bledi.

Yeh mkuu huyo ndo kaniacha hoi... Yaani ulikuwa ni mtihani mkubwa sana.kwake.. alafu umesikia madam speaker alipochimba mkwara kwa ngeli.. inasikitisha ila inabidi.ucheke tu
 
this shameful act reflects us all, kwani ni lazima utumie lugha usiyoiweza??? ok kama ni lazima kwani ni lazima ushiriki hicho kinyanganyiro!!!!!!!!!!
 
Asante kutuwekea hii burudani. Nimecheka hadi machozi yamenitoka
 
Mzee wa AK 47 Malima alikuwa anasoma majumuisho ya muswada hapa akajaribu kutumia ngeli aaah wapi ikagoma
 
this shameful act reflects us all, kwani ni lazima utumie lugha usiyoiweza??? ok kama ni lazima kwani ni lazima ushiriki hicho kinyanganyiro!!!!!!!!!!

Mkuu labda waliambiwa sikuhiyo ni ngeli tu.. hahaha
 
Duuu sijui ngeli lakini ni komesha, within a cuf i am a nec member, i have a knowledge known as political science and public administration and international relationship.
 
Hizi ngeli za hawa akinamama,ziko sawa kabisa jamani...mheshimiwa kabla haujamaliza muda wako tunakuomba watumbukize hata ubalozi wowote nje,wamejitahidi kwelikweli!!
 
Yeh mkuu huyo ndo kaniacha hoi... Yaani ulikuwa ni mtihani mkubwa sana.kwake.. alafu umesikia madam speaker alipochimba mkwara kwa ngeli.. inasikitisha ila inabidi.ucheke tu

Kirengeza ni wito.
 
Kingereza mchezooooooooooooo, chezea shule za kata weweeeeeeeeeeeeeeeee.
 
Mkuu labda waliambiwa sikuhiyo ni ngeli tu.. hahaha

Si ilikuwa mambo ya "Afrika Masharki sasa", ndio maana ikawa "kompalisore".
Mimi niliisikia kama majuma mawili hivi sikuamini na hata sasa bado siamini kama kuna vilaza wa namna hii tena wenye "profesheni ya politiki, pabliki administration, international relations...," MH! Kweli elimu ya Tz; kama mtu ana madigirii haya yote yanayosomwa kwa hiyo lugha na "ndio yenye ueledi husika" halafu unatokota "kutafuta dile bledi na two crips(two kids/children etc!!!!). Hata mpiga picha/ mtu aliyerekodi aliishiwa nguvu kwa kucheka.
Anyway anaweza kuanzisha kundi lake la vichekesho akajikusanyia mahela, nadhani hajashtukia kipaji tu.
 
Back
Top Bottom