Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
Wabunge hasa wale "energetic" wawe wa magwanda au magwada itapendeza tukiona mnafanya na tunajua ratiba zenu za mambo kama hawa wenzenuu wa majuu wanavyofanya........ Nime google mifano michache ya wabunge nikaon wanafanya kitu kinaitwa "Surgery". Tunaomba na wabunge wetu wa Tanzni muanze kfanya surgery kama hizi
David Hanson
Anne Begg MP
Gerry Sutclifee MP
Wabunge Misiwe busy sana na kazi za kamati za bunge mkawasahau. nadhani itapendeza kila mbunge kutenga siku moja kwa wiki japo masaa machache ya kukutana na watu ama ana kwa ana au hata kwa njia nyingine. Lakini ya ana kwa ana inapendeza zaidi na ratiba yenu ijuliikane lini na wapi mpo accesible kuwasikiliza wanachi.
Hilo ni wazo . Wengine tunaoana wabunge hapa JF lakini kuna wapiga kura wengi hawajapata nafasi ya kuwasiliana nanyi. Wasaidieni na wawezesheni kuwafamisha jinsi mnavyopatikana.
Msisubiri mpaka mtakapojisikia au mnaona na wapiga kura na usikiliza kero zao kwa bahati mabaya weye misibani na sherehe
David Hanson
David Hanson .......I hold regular surgeries across the constituency. No appointment is needed and I see everyone who attends on a first-come-first-served basis.
Cheki ratiba kamili ya "surgery" ya mbunge huyu amabpo anakutana na wananchi wa jimbo lake hapa
Anne Begg MP
..............Anne holds surgeries every Friday afternoon in her office. To make an appointment to see Anne please call 01224 252704 between 10am and 5pm or by e-mailing begga@parliament.uk (please include full postal address).chanzo Anne Begg MP:: surgery details
Gerry Sutclifee MP
Gerry holds regular surgeries across the constituency to try and be as accessible as possible. If none of the surgeries are convenient for you, .........
Date: Time: Venue: Friday 3rd February 2012 12.30-2.00pm Gerry's office, Gumption Centre Saturday 18th February 2012 10.00am-12.00 Co-op, Fair Road, Wibsey Friday 2nd March 2012 12.30-2.00pm Gerry's office, Gumption Centre Saturday 24th March 2012 10.00am-12.00 Tesco Extra, Great Horton Road Friday 13th April 2012 12.30-2.00pm Gerry's office, Gumption Centre
Chanzo Gerry Sutcliffe MP - Surgery Dates
Wabunge Misiwe busy sana na kazi za kamati za bunge mkawasahau. nadhani itapendeza kila mbunge kutenga siku moja kwa wiki japo masaa machache ya kukutana na watu ama ana kwa ana au hata kwa njia nyingine. Lakini ya ana kwa ana inapendeza zaidi na ratiba yenu ijuliikane lini na wapi mpo accesible kuwasikiliza wanachi.
Hilo ni wazo . Wengine tunaoana wabunge hapa JF lakini kuna wapiga kura wengi hawajapata nafasi ya kuwasiliana nanyi. Wasaidieni na wawezesheni kuwafamisha jinsi mnavyopatikana.
Msisubiri mpaka mtakapojisikia au mnaona na wapiga kura na usikiliza kero zao kwa bahati mabaya weye misibani na sherehe