Wabunge wetu fanyeni surgery kama hizi

Zing

JF-Expert Member
Jun 24, 2009
1,767
470
Wabunge hasa wale "energetic" wawe wa magwanda au magwada itapendeza tukiona mnafanya na tunajua ratiba zenu za mambo kama hawa wenzenuu wa majuu wanavyofanya........ Nime google mifano michache ya wabunge nikaon wanafanya kitu kinaitwa "Surgery". Tunaomba na wabunge wetu wa Tanzni muanze kfanya surgery kama hizi

David Hanson

David Hanson .......I hold regular surgeries across the constituency. No appointment is needed and I see everyone who attends on a first-come-first-served basis.

Cheki ratiba kamili ya "surgery" ya mbunge huyu amabpo anakutana na wananchi wa jimbo lake hapa

Anne Begg MP
..............Anne holds surgeries every Friday afternoon in her office. To make an appointment to see Anne please call 01224 252704 between 10am and 5pm or by e-mailing begga@parliament.uk (please include full postal address).
chanzo Anne Begg MP:: surgery details

Gerry Sutclifee MP

Gerry holds regular surgeries across the constituency to try and be as accessible as possible. If none of the surgeries are convenient for you, .........
Date:Time:Venue:
Friday 3rd February 201212.30-2.00pmGerry's office, Gumption Centre
Saturday 18th February 201210.00am-12.00Co-op, Fair Road, Wibsey
Friday 2nd March 201212.30-2.00pmGerry's office, Gumption Centre
Saturday 24th March 201210.00am-12.00Tesco Extra, Great Horton Road
Friday 13th April 201212.30-2.00pmGerry's office, Gumption Centre

Chanzo Gerry Sutcliffe MP - Surgery Dates

Wabunge Misiwe busy sana na kazi za kamati za bunge mkawasahau. nadhani itapendeza kila mbunge kutenga siku moja kwa wiki japo masaa machache ya kukutana na watu ama ana kwa ana au hata kwa njia nyingine. Lakini ya ana kwa ana inapendeza zaidi na ratiba yenu ijuliikane lini na wapi mpo accesible kuwasikiliza wanachi.

Hilo ni wazo . Wengine tunaoana wabunge hapa JF lakini kuna wapiga kura wengi hawajapata nafasi ya kuwasiliana nanyi. Wasaidieni na wawezesheni kuwafamisha jinsi mnavyopatikana.
Msisubiri mpaka mtakapojisikia au mnaona na wapiga kura na usikiliza kero zao kwa bahati mabaya weye misibani na sherehe
 
Back
Top Bottom