king ndeshi
Senior Member
- Oct 31, 2010
- 135
- 7
Kazi ya wabunge kwa lugha rahisi ni kusimamia (kuibana) na kuishauri serikali, Kinyume kabisa na hali hiyo wabunge wengi 97% wa ccm wamekuwa wakitetea majibu ya serikali,wakati mwingine kupangua hoja zinazoibuliwa bungeni dhidi ya serikali kitu ambacho ni kazi ya mawaziri. Hii nchi itasonga mbele siku CCM wakiongea kama CHADEMA. Yaani kama wabunge...ASANTENI