Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
Napenda kuwauliza wabunge wetu wa "magamba" na "magwanda" hasa wa mikoa/wilayaau majimbo linakopita treni iwe ni yaTAZARA au ya kati
- Je wanajua umuhimu wa gari moshi kwa wanachi wa majimbo/wilaya au mikoayao
- Je wanajua au wameshuhudia state ya usafiri wagari moshi
- Na mwisho lakini la muhimu hata kwa kusafiri daraja la kwanza au la Pili ni wangapi wametumia usafiri huo japo mara moja