I have a dream.....let's get ready for a little suprise......letsutilise the only forest reserve in dar......the rest will be history..nani anataka Kuwa sniper? Professional sniper...meeeen!
mwaka hu lazima tushikane mashati.... ubungo 2005 Mnyika alishinda ila akachezewa rafu, dis tym lazima kieleweka watake wasitake..
wakimwaga mboga si twamwaga ugali.....
Haki haiombwi, inatafutwa......MAALIMU SEIF
Mmh,SUGU!
Ukilinganisha kwa uelewa na uwezo wa kupambanua mambo(weledi) kati ya Profesa Maji Marefu na Sugu,NADHANI PROFESA ANA UWEZO ZAIDI.
kwa SUGU MMECHEMSHA!
Kwani wameshatangazwa na Tume ya taifa ya Uchaguzi? jamani tuwe serious katika mabo haya huu mzahazaha ndio unaotuletea matatizo haya tuliyo nayo. watu wataacha kwenda kupiga kura kwa kujua tayari wabunge wameshapatikana.