Wabunge wameapa kulinda Katiba marufuku kujadili uchaguzi wa Zanzibar

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,902
52,003
Kila mbunge ameapa kulinda na kutetea katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.Na katiba hiyo waliyoapa kuilinda na kuitetea swala la uchaguzi wa Zanzibar halimo katika mambo ya muungano waliyoapa kuyatetea.Hivyo ni marufuku kulijadili bungeni ni kinyume cha katiba waliyoapa kuilinda.
 
Back
Top Bottom