Ndugu wadau wa jf mi nimesikitishwa na baadhi ya wabunge wetu WANAOTETEA MASLAHI YA MTU BINAFSI(MENGI) NA KUACHA Kuacha kuzungumzia hoja za kimaendeleo, wafuatao ni baadhi yao: David Kafulila, John MNYIKA, Christopher Olisendeka, Mbowe, na wote waliotoka nje wakati wa kujadili BAJETI YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI. HUU NI MTAZAMO WANGU KWANI KUNA MAMBO MENGI YA MSINGI YANAYOGUSA JAMII BUT HAWA JAMAA WAMEONYESH WAZI HAWANA INTEGRITY.