Kuna baadhi ya watanzania ni waajabu sana nchini kwetu wakiona mtu au kiongozi mwizi wanampinga na wakiletewa mwingine ambaye ni mzalendo wa kweli na si mla rushwa na hatoi rushwa watamchukia na kumpikia majungu na kumfanyia mizengwe.
Ndugu wadau hoja yangu ya leo ni kuhusu wizara ya nishati na madini ambayo haijawahi kutulia hata mora moja kila siku inavurugu mara mawaziri wezi, mara makatibu wakuu na hata wakurugenzi kama katika shirika la tanesco ambalo lipo chini ya wizara ya nishati na madini.
Kwa sasa wizara hii kusema ukweli imepata viongozi wenye misimamo na wasio yumbishwa na hawana woga wowote na hawaogopi chochote ukianzia na waziri mwenyewe profesa muhongo ambaye bila woga alimwondoa aliyekuwa md tanesco mhando aliyekuwa akiiba, akamuondoa mwanasheria aliyekuwa akichota fedha tanesco nimrod mkono ambaye kwa mwezi alikuwa anachukua bilioni kumi na akahakikisha mgawo wa umeme uliokuwa ukioendelea miaka yote nchini na kudai kwamba mgawo ukiendlea nawafukuza kazi menejiment ya tanesco na bodi yake.
Ukija kwa maswi aliwapangua walaji na wababaishaji katika wizara ya nishati na madini na kuhakikisha wizara inaendeshwa kwa maadili na hakuna ubabaishaji na wizi na uwazi unakuwepo lakini na hakuna wanasiasa kuingilia utendaji wa wizara na taasisi zake kama ilivyokuwa huko nyuma.
Maswi ni muhongo viongozi wenye misimamo na hawaogopo iwapo akitokea mshenzi na mtu ambaye ataka kuleta ubabaishaji kama ilivyotokea kwa akina kafulila na zitto ambao wanatumiwa kwa kupewa fedha kupambana na maswi na muhongo na wao kwa vyovyote hawawezi kukubali.
Kuna jambo ambalo limetokea ambalo baada ya ripoti kutoka na kuonekana kwamba maswi na muhongo hawamo baadhi ya wabunge wamenipanga kutafuta eneo jingine la kupambana na maswi mojawapo ni kutumia sauti ya maswi iliyorekodiwa na kutumwa kwenye simu za watu mbalmbali ili wabunge wadai kwamba alimtukana kafulila.
Na kwa sasa amepangwa mbunge machali atumie sauti hiyo ya maswi kuiweka bungeni na kudai kwamba katibu mkuu maswi ambaye ni kiongozi wa serikali anatukana wabunge. (hivi kwa nini wabunge wao wawe wanatukana na kudhalilisha watu ndani ya bunge lakini wao wakijibiwa wanadai wametukanwa na wana kinga lini na sisi watanzania wengine tutakuwa na kinga hiyo. Mbunge akikutukana akikudhalilisha wewe mtu mwingine huruhusiwi kujibu wakati wabunge wengine ni wajinga na hawajasoma wengine hata uelewa mkubwa hawana kabisa. Hatutaki tumechoka
Tunasubiri kumuona Machali akitekeleza kazi aliyetumwa na Deo Filikunjombe na Zitto kumdhalilisha Maswi.
Ndugu wadau hoja yangu ya leo ni kuhusu wizara ya nishati na madini ambayo haijawahi kutulia hata mora moja kila siku inavurugu mara mawaziri wezi, mara makatibu wakuu na hata wakurugenzi kama katika shirika la tanesco ambalo lipo chini ya wizara ya nishati na madini.
Kwa sasa wizara hii kusema ukweli imepata viongozi wenye misimamo na wasio yumbishwa na hawana woga wowote na hawaogopi chochote ukianzia na waziri mwenyewe profesa muhongo ambaye bila woga alimwondoa aliyekuwa md tanesco mhando aliyekuwa akiiba, akamuondoa mwanasheria aliyekuwa akichota fedha tanesco nimrod mkono ambaye kwa mwezi alikuwa anachukua bilioni kumi na akahakikisha mgawo wa umeme uliokuwa ukioendelea miaka yote nchini na kudai kwamba mgawo ukiendlea nawafukuza kazi menejiment ya tanesco na bodi yake.
Ukija kwa maswi aliwapangua walaji na wababaishaji katika wizara ya nishati na madini na kuhakikisha wizara inaendeshwa kwa maadili na hakuna ubabaishaji na wizi na uwazi unakuwepo lakini na hakuna wanasiasa kuingilia utendaji wa wizara na taasisi zake kama ilivyokuwa huko nyuma.
Maswi ni muhongo viongozi wenye misimamo na hawaogopo iwapo akitokea mshenzi na mtu ambaye ataka kuleta ubabaishaji kama ilivyotokea kwa akina kafulila na zitto ambao wanatumiwa kwa kupewa fedha kupambana na maswi na muhongo na wao kwa vyovyote hawawezi kukubali.
Kuna jambo ambalo limetokea ambalo baada ya ripoti kutoka na kuonekana kwamba maswi na muhongo hawamo baadhi ya wabunge wamenipanga kutafuta eneo jingine la kupambana na maswi mojawapo ni kutumia sauti ya maswi iliyorekodiwa na kutumwa kwenye simu za watu mbalmbali ili wabunge wadai kwamba alimtukana kafulila.
Na kwa sasa amepangwa mbunge machali atumie sauti hiyo ya maswi kuiweka bungeni na kudai kwamba katibu mkuu maswi ambaye ni kiongozi wa serikali anatukana wabunge. (hivi kwa nini wabunge wao wawe wanatukana na kudhalilisha watu ndani ya bunge lakini wao wakijibiwa wanadai wametukanwa na wana kinga lini na sisi watanzania wengine tutakuwa na kinga hiyo. Mbunge akikutukana akikudhalilisha wewe mtu mwingine huruhusiwi kujibu wakati wabunge wengine ni wajinga na hawajasoma wengine hata uelewa mkubwa hawana kabisa. Hatutaki tumechoka
Tunasubiri kumuona Machali akitekeleza kazi aliyetumwa na Deo Filikunjombe na Zitto kumdhalilisha Maswi.