hadi sasa hivi ni mtu wa pili anaongea lakini viti bungeni vinaonekana vipo tupu. wabunge wa ccm waliopo hawazidi 20. ova
dhambi waliyofanya mwaka jana kuupitisha mswada wakatiba ndiyo inawahukumu. Wanaogopa kula matapishi yao.
kaha, kwani kuna mjadala gani kwa sasa