Wabunge wa CCM wajadili bajeti ya upinzani

The Listener

JF-Expert Member
Feb 5, 2012
993
213
Natazama Bunge live lakini cha ajabu naona kama wabunge wa CCM wanaijadili tena kwa kina bajeti ya upinzani. Kimsingi nadhani walitakiwa kuiboresha bajeti ya serikali yao huku wakiuchukua ushauri (hasa ule wanaouona kwao unafaa) toka katika bajeti ya upinzani.
 
Natazama Bunge live lakini cha ajabu naona kama wabunge wa CCM wanaijadili tena kwa kina bajeti ya upinzani. Kimsingi nadhani walitakiwa kuiboresha bajeti ya serikali yao huku wakiuchukua ushauri (hasa ule wanaouona kwao unafaa) toka katika bajeti ya upinzani.


Wapinzani wanatoa maoni, lakini hoja bajeti ya serikali. Wabunge wote wanatakiwa wajadili hiyo hoja yaani bajeti ya serikali, sasa kama wanajadili maoni ya upinzani hili ni janga lingine la kitaifa. Kwa bahati mbaya anayeongoza kikao cha bunge ama kwa makusudi au kutojua ameamua kuacha kuacha watu wajadili maoni na sio 'hoja'.

Na kwa msingi huo hakuna haja ya serikali kupeleka hoja bungeni maana wabunge hawachangii/hawachambui hoja. Waachwe wapinzani wapeleke maoni since wabunge wa CCM wako bungeni kujadili maoni ya wapinzani!
 
Siyo bajeti tu hata sera na ilani yao hawaizingatii tena wanasubiri waone CDM wanafanya nini au wanasema nini, halafu wao wafuate au wajadili. CCM ni chama tawal kinadharia ila CDM ni chama tawala in action maana ilani yao, bajeti na hotuba zao ndo zinaongoza kujadiliwa na CCM na vyama vingine badala zile za CCM, sasa nani anatawala hapo??
 
Hili ndio tatizo la kuweka maslahi ya chama mbele, CCM ni janga la kitaifa na wabunge wake ni virus wanaitafuta Tanzania, mimi nimeacha hata kutazama bunge maana linaendeshwa kitoto sana na wenyeviti na spika dahifu toka chama cha kipuuzi kinachoongozwa na mwenyekiti dhaifu!
 
Natazama Bunge live lakini cha ajabu naona kama wabunge wa CCM wanaijadili tena kwa kina bajeti ya upinzani. Kimsingi nadhani walitakiwa kuiboresha bajeti ya serikali yao huku wakiuchukua ushauri (hasa ule wanaouona kwao unafaa) toka katika bajeti ya upinzani.
typical defensive mechanism which is wrong
 
Back
Top Bottom