The Listener
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 993
- 213
Natazama Bunge live lakini cha ajabu naona kama wabunge wa CCM wanaijadili tena kwa kina bajeti ya upinzani. Kimsingi nadhani walitakiwa kuiboresha bajeti ya serikali yao huku wakiuchukua ushauri (hasa ule wanaouona kwao unafaa) toka katika bajeti ya upinzani.