Wabunge wa CCM na huo wingi wao.

Wabunge wa CCM na huo wingi wao.

ebaeban

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,205
Reaction score
2,707
Hawaaminiki kwa sababu wanatumia huo uwingi wao kwa manufaa ya chama chao na wao binafsi, wanajali zaidi maslahi yao binafsi kwa kutumia huo uwingi wao , wao kwanza taifa baadae hilo ndio tatizo lao wenye akili sasa hawawamini tena, hawaaminiki, Katika hotuba ya jana JK kamsakama sana Tundu Lissu, ni lazima akina Tundu Lissu wawe wakali kwa sababu kikinuka wao hawana pa kwenda itabidi wabaki hapahapa wakati ambapo majitu mengi ya CCM akina Aden RAGE, Mohamed Dewji na wengine siyo wakaaji kikinuka lazima wakimbie wana passport mbili hata kama siyo rasmi, sasa kweli watu wa aina hiyo ni wakuwafuata hata kama ni wengi?
 
Yule Le baharia wa ONLY IN TANZANIA simuoni kabisa....
 
Katika chama cha mapinduzi ni wabunge wachache sana wanaojitambua mfano mh,kesi,mh mpina ,mh.lusinde ole sendeka,,. ,,wengi wao ni ndioooooo,,,jambo liwe la msingi au lisiwe la msingi,,utasikia ndiooooooooo,,,,,badala yakujadili hoja za muhimu kwa ajili ya maslai ya wananchi,,wanabaki kujadili vitu vya wabunge wa upinzani vilivyo acha wazi,,,,kweli wingi wa pua sio wingi wamakamasi
 
Hawaaminiki kwa sababu
wanatumia huo uwingi wao kwa manufaa ya chama chao na wao binafsi,
wanajali zaidi maslahi yao binafsi kwa kutumia huo uwingi wao , wao
kwanza taifa baadae hilo ndio tatizo lao wenye akili sasa hawawamini
tena, hawaaminiki, Katika hotuba ya jana JK kamsakama sana Tundu Lissu,
ni lazima akina Tundu Lissu wawe wakali kwa sababu kikinuka wao hawana
pa kwenda itabidi wabaki hapahapa wakati ambapo majitu mengi ya CCM
akina Aden RAGE, Mohamed Dewji na wengine siyo wakaaji kikinuka lazima
wakimbie wana passport mbili hata kama siyo rasmi, sasa kweli watu wa
aina hiyo ni wakuwafuata hata kama ni wengi?

Lisu amejitakia kusakamwa na anastahili kupewa onyo kwa kumzulia uongo Rais
 
siku zote chama chenye wabunge wengi bungeni ndicho chenye mamlaka ya kupitisha hoja bungeni. ndo maana kule marekani Republican wamezuia mpango wa rais obama wa bima ya afya hata kama mpango huo ni mzuri
 
Lisu amejitakia kusakamwa na anastahili kupewa onyo kwa kumzulia uongo Rais

Raisi wako ndiye muongo na mchonganishi.... si angesaini hayo maoni ya katiba na auone moto wake, hakyamumgu nimeamini MACCM ni mamburula..........
 
siku zote chama chenye wabunge wengi bungeni ndicho chenye mamlaka ya kupitisha hoja bungeni. ndo maana kule marekani Republican wamezuia mpango wa rais obama wa bima ya afya hata kama mpango huo ni mzuri

Usilinganishe wabunge wa marekani na hawa wa maccm waakina maji marefu.Hawa wa ccm wanapewa maelekezo njee ya mawazo yao na hawana hajaa ya kufikiri cha kupeleka bungeni,wanasubiri kupewa maelekezo.
 
Mh: lissu hajatendewa haki hata kidogo, kwani hoja ni za wapinzani wote, why lissu? na pia kama ni unafiki na uzandiki hata kina bulembo, sophia na wassira wameudanganya umma kwa nn hawakuonywa, au kwa kuwa wao ni wateule? aluta cointinue lissu.....mti wenye matunda daima ndo hupigwa mawe!
 
siku zote chama chenye wabunge wengi bungeni ndicho chenye mamlaka ya kupitisha hoja bungeni. ndo maana kule marekani Republican wamezuia mpango wa rais obama wa bima ya afya hata kama mpango huo ni mzuri

Na wewe unaona ni akili kukwamisha mipango mizuri kwa taifa kisa uwingi wao???Taifa la watu 44M unawafanyia maamuzi kwa manufaa ya chama ambacho wenyewe mnasema kina wanachama 5M,Bulembo and Le mutuz included.
 
JK kwa hotuba ya jana ameonyesha udhaifu mkubwa sana kama kiongozi,hivi kama unamuita chikawe na Werema wote ni makada wa CCM unatarajia wakumbie zuri gani kuhusu wapinzani na mchakato wa katiba,JK NI rais kilaza sana mzandiki wa 1 CCM ni ABDALAH BULEMBO
 
JK kwa hotuba ya jana ameonyesha udhaifu mkubwa sana kama kiongozi,hivi kama unamuita chikawe na Werema wote ni makada wa CCM unatarajia wakumbie zuri gani kuhusu wapinzani na mchakato wa katiba,JK NI rais kilaza sana mzandiki wa 1 CCM ni ABDALAH BULEMBO
Kwa uamuzi wa jana wa kurudisha mswada bungeni na kufungua njia ya majadiliano kati ya serikali na Vyama vya upinzani ili kufikia muafaka, namsifu JK! Amepingana na wengi katika chama chake ambao walidhani atatumia ubabe kusaini mswada ule. Njia aliyochagua ni sahihi na yabidi tumuunge mkono! Hakuna kitakachofumbua hili fumbo bali ni kukaa katika meza moja na kuelezana ukweli na kufikia muafaka. Tunahitaji katiba yetu sote.
 
Back
Top Bottom