Wabunge wa CCM na hoja ya khanga na madera

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,947
95,237
Jana nilipigwa na butwaa wakati mbunge mmoja wa CCM alipouliza juu ya ubora wa khanga na madera. Hoja hii iliwachwa muda mrefu huku muongeaji akiisemea kishujaa kabisa utadhani ni hoja ya kimaendeleo.

Na wabunge walio wengi walionekana kuifurahia sana na kiukweli nilishindwa kuelewa nini maana ya wabunge kufurahia ubora wa khanga na vitenge na madera badala ya kujadili hoja zenye muelekeo wa kimaendeleo kwa taifa letu.
 
Kwa kweli hata mimi niliwaonea huruma wakijadili dela eti zitengenezwe hapa nchini. kwanza ni huruma kuona wanawake wanavaa dela, sio nguo nzuri hata kidogo. Kiufupi kuvaa dela inaonyesha uwezo mdogo walio nao wanawake wa TZ kuvaa nguo nzuri na za heshima. badala ya kujadili jinsi ya kutoka kwenye dela wanajadili zije kutengenezwa hapa. Kweli nilisikitika sana.
 
Jana nilipigwa na butwaa wakati mbunge mmoja wa CCM alipouliza juu ya ubora wa khanga na madera. Hoja hii iliwachwa muda mrefu huku muongeaji akiisemea kishujaa kabisa utadhani ni hoja ya kimaendeleo.

Na wabunge walio wengi walionekana kuifurahia sana na kiukweli nilishindwa kuelewa nini maana ya wabunge kufurahia ubora wa khanga na vitenge na madera badala ya kujadili hoja zenye muelekeo wa kimaendeleo kwa taifa letu.
Mkuu nategemea kwamba ulipoona wanaongea huo upuuzi hapohapo ukazima kama si kubadiisha chaneli.

Sidhani kama ulivumilia hadi mwisho.
 
Unataka waongelee ubora wa nini? Khanga na madera ndo mavazi yetu kinamama sasa kuna ubaya gani wakijadili?
Nani asiyejua ni mavazi yenu? na si nyinyi tu hadi hawa wanaohojiwa na clouds nao huvaa sana.

Lakini kwa hoja zilizopo kwa mwelekeo wa taifa letu hiyo siyo hoja ya kushupalia na mishipa ikakutoka.
 
Kwa kweli hata mimi niliwaonea huruma wakijadili dela eti zitengenezwe hapa nchini. kwanza ni huruma kuona wanawake wanavaa dela, sio nguo nzuri hata kidogo. Kiufupi kuvaa dela inaonyesha uwezo mdogo walio nao wanawake wa TZ kuvaa nguo nzuri na za heshima. badala ya kujadili jinsi ya kutoka kwenye dela wanajadili zije kutengenezwa hapa. Kweli nilisikitika sana.
Madela wanavaa baikoko,

Ambao ni hatari kwa ustawi wa jamii ya mtanzania.
 
Nani asiyejua ni mavazi yenu? na si nyinyi tu hadi hawa wanaohojiwa na clouds nao huvaa sana.

Lakini kwa hoja zilizopo kwa mwelekeo wa taifa letu hiyo siyo hoja ya kushupalia na mishipa ikakutoka.
In case you didn't know ya msingi ya mwanadamu ni Chakula, Mavazi na Malazi mengine mbwembwe tu. Kuna vitu tunaweza kuvikosa na tukaishi maisha magumu lakini utu wetu utasitirika ila sio kwa mahitaji hayo matatu
 
In case you didn't know ya msingi ya mwanadamu ni Chakula, Mavazi na Malazi mengine mbwembwe tu. Kuna vitu tunaweza kuvikosa na tukaishi maisha magumu lakini utu wetu utasitirika ila sio kwa mahitaji hayo matatu
Sawa,

lakini unaona sawa kwa hoja kama hiyo kusikilizwa bungeni kwa muda kama huu?
 
Jana nilipigwa na butwaa wakati mbunge mmoja wa CCM alipouliza juu ya ubora wa khanga na madera. Hoja hii iliwachwa muda mrefu huku muongeaji akiisemea kishujaa kabisa utadhani ni hoja ya kimaendeleo.

Na wabunge walio wengi walionekana kuifurahia sana na kiukweli nilishindwa kuelewa nini maana ya wabunge kufurahia ubora wa khanga na vitenge na madera badala ya kujadili hoja zenye muelekeo wa kimaendeleo kwa taifa letu.

Hahahaaaaaa yan Nimecheka sana mkuu.
 
Ni bunge haramu hili Mkuu mie sioni umuhimu wa kuendelea kupoteza matrilioni ya pesa kwa hili Bunge haramu la MACCM.

Jana nilipigwa na butwaa wakati mbunge mmoja wa CCM alipouliza juu ya ubora wa khanga na madera. Hoja hii iliwachwa muda mrefu huku muongeaji akiisemea kishujaa kabisa utadhani ni hoja ya kimaendeleo.

Na wabunge walio wengi walionekana kuifurahia sana na kiukweli nilishindwa kuelewa nini maana ya wabunge kufurahia ubora wa khanga na vitenge na madera badala ya kujadili hoja zenye muelekeo wa kimaendeleo kwa taifa letu.
 
Mkuu nategemea kwamba ulipoona wanaongea huo upuuzi hapohapo ukazima kama si kubadiisha chaneli.

Sidhani kama ulivumilia hadi mwisho.
Kwanza nilijilaumu sana kufungulia hiyo channel azam na kilichofuata ni kuamisha kabisa
 
Nani asiyejua ni mavazi yenu? na si nyinyi tu hadi hawa wanaohojiwa na clouds nao huvaa sana.

Lakini kwa hoja zilizopo kwa mwelekeo wa taifa letu hiyo siyo hoja ya kushupalia na mishipa ikakutoka.
Mtoa hiyo hoja/swali alitoa mishipa na kujiona shujaa maana ukumbi mzima ulikuwa unamshangilia
 
Back
Top Bottom