bushman
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,411
- 743
Kwa kweli silizishwi na utendaji wa baadhi ya wabunge kutoka kusini,nasema hivyo kwa kusini mh.baruan (cuf) alfani kutoka lindi mjini ndio akisimama unaona ajenga hoja wengne duuuuuu,kama keptain komba ulitumwa ukasinzie?hali ya kusini ni mbaya nyie mnagonga meza tu kushabikia chama kimbunga kinakuja hamponi hamtarudi kwa sababu wenzenu chadema wanajenga hoja za msingi na data za kutosha nyie mnalala tu barabara mbaya,umeme wa majenerata,inasikitisha lakini kitu kimoja kila mmoja atahukumiwa kwa matendo yake nyie shabikieni tu chama chenu hicho cha ccm mh. Ole sendeka jana kasema serikali inaelekea kufa tuone mtaenda wapi ninyi?,hamoni mfano kwa wabunge wa kigoma na kaskazini wanavyokomaa na serikali?mnatia aibu basi msimamame mchangie hata wazo la tupande miti,lakini hata hilo,mnafurahishwa na umaskini huu? Mabadiliko yanakuja miaka 50 ya uhuru umeme wa genereta hakuna viwanda rasilimali ziko nyingi nyie mnalala usingizi tu mnatia aibu mnooooooooooooo!