Wabunge wa CCM kukiona

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
16,515
28,504
mw1.jpg


>>Taarifa toka Lumumba zinadai kuna mkakati wa "kuwashikisha adabu" wabunge wote wa CCM waliomshangilia Rais mstaafu Jakaya Kikwete bungeni kwa kishindo pindi alipohudhuria kuapishwa mwa mkewe mama Salma Kikwete.

>>Taarifa zinadai pia kuwa kumshangilia kule Kikwete kwa wabunge hao kumetokana na kile wabunge wa CCM walichosema ni kuchoka kuisoma namba kutoka kwa utawala wa Muheshimiwa wa sasa hali iliyopelekea kumkumbuka sana mstaafu huyo.
 
Nadhani sasa imerihirika kuwa ña yy kajua kuwa watu hawampendi kabisa, cha msingi aache utemi wa kisukuma
 
Gazeti la Saed Kubenea.

CCM ni taasisi ambayo haiwezi kuyumba kwa majungu ya kitoto kama haya ya gazeti la Mawip.

Eti wabunge wa CCM kukiona! My left foot.

Hata mim mwenywe nimeshangaa huyu aliyehariri hili gazeti akamatwe

Kwa akili yake Rais atawafanya nn wabunge waliochaguliwa na wananchi?
 
Back
Top Bottom