Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,936
Wabunge wa UKAWA watoka nje ya bunge wakiwa wametinga mavazi meusi na wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe mbali mbali.
Baadhi ya Mabango yalikuwa yanasomeka...
VIDEO
Baadhi ya Mabango yalikuwa yanasomeka...
- Magufuli, acha kutawala Zanzibar kijeshi
- Magufuli, nchi hii siyo mali yako binafsi
- JPM & Tulia liacheni bunge lifanye kazi
- Hatuwezi kuongozwa kwa kauli za mtu mmoja
- Bunge ni chombo cha wananchi, kiachwe kifanye kazi yake
- Tulia, Bunge siyo kampuni binafsi
- Magufuli: Siasa ni maisha, huwezi kuyasimamisha
- Kama mko sahihi, woga wa nini?
VIDEO