Hivi ni kwa nini Wabunge nao wasivae majoho kama Madiwani? naona wah. wabunge maalum la katiba wanavyohangaika kushona suti hapa Dodoma lakini pia kuleta uniformity kwa wah wabunge wetu wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.