akajasembamba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 1,193
- 1,808
Sidhani kama shida,dhiki na matatizo ya wananchi yanakumbukwa kama kuvaa hivyo VIKUKU na urembo mwingine. They are representing us!
Sidhani kama shida,dhiki na matatizo ya wananchi yanakumbukwa kama kuvaa hivyo VIKUKU na urembo mwingine. They are representing us!
![]()
Hata huyu ni mbunge na alitinga kwenye kikao na hereni kwenye masikio
![]()
Hata huyu ni mbunge na alitinga kwenye kikao na hereni kwenye masikio
Ndio matatizo ya kuteua wabunge wasio na maadili!!Ina maana kupendeza heleni,bangili ,shanga na mikufu havitoshi???Waache ushamba na mambo ya kiswahili-Huko ni kutafuta umaarufu tu
Sidhani kama shida,dhiki na matatizo ya wananchi yanakumbukwa kama kuvaa hivyo VIKUKU na urembo mwingine. They are representing us!