Wabunge na Rushwa; Ukawa walistahili kukataa Kamati zao kuchakachuliwa

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
40,432
73,078
Sasa ni dhahiri kuwa Ukawa walikuwa na haki kukataa Spika kuwachakachulia wabunge watakao ingia kwenye kamati zile ambazo huwa zinasimamiwa na upinzani kisheria. Kamati hizo ni PAC na ile ya Hesabu za serikali za mitaa.
Ni wazi kuwa huu mchezo wa rushwa kwa wajumbe wa kamati za bunge sio mpya Bali wa kipindi kirefu maana kwa kamati hizi mpya hata miezi sits bado wasingekuja na mikakati ya kudai rushwa.
Ukawa kwa sasa hawataki zile kamati zao ziendeshwe na watu walarushwa ili kuonyesha tofauti maana wabunge wanajuana na wanataka weledi ndani ya hizo kamati.
Ni wakati sasa Spika ashinikizwe kusikiliza hoja yao vinginevyo tutaamini kuwa naye anapata mgawo kutoka kwa watu kama Lugola ndio maana anawapanga kamati zilezile
 
Mwaka 2011 mwezi march mbunge Kafulila alitoa kauli bungeni kuwa wabunge wenzake wanalazimisha kupewa rushwa kutoka katika halmashauri.
Akawataja Erasto Zambi, Badwel na Mhita. Hakusikilizwa ingawa huyo Badwel hakukoma mpaka akaja kamatwa na PCCB. Hivyo rushwa bungeni imeota mizizi, na kwa vile sheria ya utumishi ya mtu akipelekwa mahakamani anasimamishwa kazi haitumiki bungeni Wabunge hawana woga kabisa
 
Hehehe unauhakika Wabunge wa UKAWA hawapewi Rushwa!!?

Rushwa nijanga kwa sasa
Na kwauongozi huu wa Madiliko ya ukweli
Subirieni kuona hata hao wana UKAWA wakipandishwa kizimbani
 
Hehehe unauhakika Wabunge wa UKAWA hawapewi Rushwa!!?

Rushwa nijanga kwa sasa
Na kwauongozi huu wa Madiliko ya ukweli
Subirieni kuona hata hao wana UKAWA wakipandishwa kizimbani
Nani kasema hao hawapokei rushwa? Ila kwa vile hakuna aliyewahi kutajwa wala kushikwa rekodi itabaki kuwa hawapokei.
Kwa hiyo kamati chini ya upinzani hazikuwa zinawataka watu kama Lugola ili ziwe safi na kufanya kazi kwa weledi
 
Nani kasema hao hawapokei rushwa? Ila kwa vile hakuna aliyewahi kutajwa wala kushikwa rekodi itabaki kuwa hawapokei.
Kwa hiyo kamati chini ya upinzani hazikuwa zinawataka watu kama Lugola ili ziwe safi na kufanya kazi kwa weledi
Unakataa unakubari
Haya
 
Hehehe unauhakika Wabunge wa UKAWA hawapewi Rushwa!!?

Rushwa nijanga kwa sasa
Na kwauongozi huu wa Madiliko ya ukweli
Subirieni kuona hata hao wana UKAWA wakipandishwa kizimbani

MOTOCHINI kwako mishipa yafahamu imeshalemaa unasifia hata aibu kisa ni members wa Lumumba
 
Bado nakumbuka ile kauli ya Mh. Nasari ; 'CCM NI UKOO WA PANYA, BABA MWIZI, MAMA MWIZI, MTOTO MWIZI, KAKA MWIZI, DADA MWIZI, BABU MWIZI, BIBI MWIZI, MJOMBA MWIZI, SHANGAZI MWIZI, MKWE MWIZI'
 
ujengwe uzio wa matofali ndani ya ukumbi wa bunge kutenganisha wabunge wa UKAWA na wa ccm , ccm siiamini kabisaaa ! hivi mtu kama lugora mikelele yote ile kumbe mwizi !
 
CCM na rushwa ni mapenzi mapenzini
Kama lengo la awamu ya 5 ni kutokomeza rushwa nchini wawape upinzani ili kumsaidia raisi kufumua mambo.
 
Hehehe unauhakika Wabunge wa UKAWA hawapewi Rushwa!!?

Rushwa nijanga kwa sasa
Na kwauongozi huu wa Madiliko ya ukweli
Subirieni kuona hata hao wana UKAWA wakipandishwa kizimbani
Sehemu salama uliyotakiwa kuwepo kwa wakati huu ni Mirembe tu na sio uraiani kabisa. Kusema ukweli unaugua 'maradhi ya kichwa' hujui tu.
 
Back
Top Bottom