jana mbunge mmoja wa bunge la tanzania ajinadi kwa kupata division one ya hesabu. Hv kweli kama mh mbunge anaye wawakilisha watu anachemka kutofautisha division one na A kuna haja ya kuwemo bungeni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.