Wabunge KUIKOMBA Hazina

Wabunge KUIKOMBA Hazina

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,521
Wabunge wa Bunge la JMT watalipwa kiinua mgongo cha sh. 338,000,000 kila mmoja pindi watakapomaliza muda wao hapo July. Source Jambo leo
 
Na sijui kama serikali itasema haina pesa za kuwalipa. Cha ajabu pesa hua zinakosekana kwenye mambo yasiyowahusu moja kwa moja!
 
Hivi bunge letu lina wabunge wangapi kwa sasa ukimwodoa Zitto?
 
Wabunge wa Bunge la JMT watalipwa kiinua mgongo cha sh. 338,000,000 kila mmoja pindi watakapomaliza muda wao hapo July. Source Jambo leo

Kama ndivyo ilivyo, lazima nikamtoe Jenister Mhagama jimbo la Peramiho, maana haiwezekani mimi nifanye kazi kwa miaka zaidi ya 30 nipate kiinua mgongo cha mil. 40 halafu Mbunge miaka 5 apawe mamilioni yote hayo! Jenister Mhagama tukutane Octoba hukohuko jimboni Peramiho!
 
Daaaah mbona pesa nyingi sana kwa nchi maskini kama Tanzania wakuu?????
 
Wabunge wa Bunge la JMT watalipwa kiinua mgongo cha sh. 338,000,000 kila mmoja pindi watakapomaliza muda wao hapo July. Source Jambo leo

Hata huyu mmiliki wa hili gazeti la Jambo Leo atalipwa hizo million wakati ameingia bungeni mwaka jana?:sly:

Huu ni ufisadi uluopindukia
 
watakaolipwa ni wa ccm tu au wootee? Kama ni wote basi mjijue Watanzania hamna akili hata chembe,mnawapigania wanasiasa na kuuwana wenyewe keshokutwa wanasepa tena wanapewa mapemaa ili ziwasaidie kwenye kampeni. Wale vichaa wa chadema mwambieni Mbowe na wenzake wasipokee hizo
 
Ndio maana Kenya waliwaita nguruwe wabunge wao walipokuja ha hoja kama hizi. Sasa sisi sijui tuwaiteje !!
 
Wabunge wa Bunge la JMT watalipwa kiinua mgongo cha sh. 338,000,000 kila mmoja pindi watakapomaliza muda wao hapo July. Source Jambo leo

Hiyo ni figure tu Mkuu. Habari za uhakika in kwamba wana madeni haoo! Yaani wamekopa hadi hicho kiinua mgongo!
 
Wameshidwa kununa bvr kits lakini za kuwalipa hao wazee wa ndioooo wanazo

Shemmmmm
 
Back
Top Bottom