Wabunge 10 wa chadema

zitoooooooooooooooooo kumbe wewe mwislamu??????????????????????????????, sikujua hayo na sikuwa na haja ya kujua, kumbe wewe ni mdini namba mojaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, kwa heri wanasiasa uchwara kama wewe
 
na walioangalizia hotuba kwenye ukumbi mdogo wa wabunge watachukuliwa hatua gani? upuuzi mtupu na unafiki. Unakataa kumuona live, kisha unaenda kumtazama kwenye kioo.

Inahitajika akili kujua...

iko sababu, bora ambao hawakwenda maana hawakushiriki unafiki ule :embarrassed:
Kama hujui maana ya walk out huna haja ya kutoa pumba hapa, ina maana wote tulioangalia kwenye tv tuliingia bungeni au wewe ukimsikiliza Osama kwenye tv ina maana umekubaliana naye acha ujuha wako.
 
mmmh jamani!that's too shame for mh.zitto wa kabwe to kill himself politically.you know the guy is doing political suicide kwa chama chake.Mimi nikiwa mwanasiasa kijana naomba nimshauri baadhi ya mambo ambayo uenda hayajui katika siasa
1)siasa ni game inayochezwa na wenye akili timamu wakati wote without taking stupid risks zinayoweza kumgharimu katika position yake kimaslahi na kiheshima katika jamii,hii zito itakugharimu usipo taadharika na kuwa makini.ulichokifanya NI KITENDO CHA KUTOTUMIA AKILI kabisa.wewe mwenyewe unabainisha mlipiga kura mkafikia maamuzi,hivi kuna demokrasia iliyokubwa kuliko njia mliofikia uamuzi wa kufanya kama chama,hebu jiulize kama mwanasiasa makini hivi mngeshinda kile ulichokihitaji wewe usingelisimamia?uoni kwamba ni kuwaona wenzio hawana akili na kutowaheshimu!hii inakupa faida gani katika siasa iwapo wenzio watakuwa wakilalama upendi kushindwa wazo lako,hii mbaya dogo.
2)katika game ya siasa lazima ukumbuke ulikotoka na nani waliokufanya ufike hapo ulipo.kabla ya kuwa mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chadema hakuna aliyekufahamu na zaidi ulikuja kujengewa umaarufu na umbumbumbu wa kufikiri wa wabunge wa chama changu cha ccm na spika wao sitta,katika hoja yako ya msingi kabisa kuhusu mkataba wa buywagi kusainiwa nje ya nchi,kila mwenye akili timamu nchi hii alijua ccm tumechemka,badala ya kukubomoa tunakujenga na ndio uliokuwa mwanzo wa wabunge wa ccm baadhi kugutuka baada ya kuona hatuwaangalii viyuri huku nje na spika akaanza kuchangamka baada na yeye kuona nafasi yake inaweza kumezwa na kuanza kuwatumieni ili kujijengea umaarufu kwa wapiga kura.ninachosema umefanyakazi nzuri jisahihishe na kubali kukosolewa acha ubishi wa kigoma kwenye gari moshi maana nasikia kuwa ukibishana na mua kutoka dar mtafika kigoma mnabishana akienda toilet anamkabidhi mwenzie amuendelezee ubishi,hiyo ni mbaya dogo.
3)Mwanasiasa lazima uwe na malengo kwa kuzisoma nyakati,kama unatafuta huku kwetu nafasi nikushauri kumejaa lakini ili upate heshima na kuendelea kuheshimiwa hebu endelea kushirikiana na wenzio kuijenga CHADEMA.malengo yako yatatimia na utapata heshima kubwa kwa umma wa watanzania.Zitto ccm tumejaandio maana huku kwetu kwa mwanasiasa kama mimi ili nipate nafasi lazima nianzishe upinzani ndani ya chama kwa kuwa msumbufu ndio wataniona kama alivyofanya NAPE,MWAKYEMBE NA SITTA,au lazima niende upinzani niwasumbue kama TAMBWE HIZZA na wengineo au na wewe ndivyo unavyotaka?mbona unanafasi kubwa inayokutambulisha kijamii na pia kimasilahi!sasa unataka nini zaidi?huku pia lazima uwe na fedha ili upate nafasi watakudanganya leo kesho utaambiwa kagombee na kama utakuwa huna fedha utadondoka na ndio utakuwa mwisho wako kisiasa.
mwisho nakuomba mkijenge chadema kiendelee kutukosoa ili tijenge nchi yetu msikiache kife tutakosa mwelekeo kabisa watanzania.naomba niishie hapa ukiitaji ushauri am here for you.kidumu chama cha mapinduzi.
 
Mathias , nakubaliana nawe 100%. Wenginw wanapenda kuendeleza MOTO usio na tija CDM. Wanataka magomvi yaibuke yasiyoisha hadi 2015; ili CDM ishindwe kurahisi. OGOPENI ya NCCR 1995 baada ya uchaguzi, jifunze kwa historia. Viongozi CDM achaneni na tofauti zenu, kaeni pamoja kujenga CDM MOja! HUU ni MTEGO MKUBWA WA CCM, MTANASWA!!Peeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!
 
Hii ni sehemu ya habari iliyoandikwa na Mwananchi Newspaper ikiwataja wabunge hao:

"Wabunge hao kuwa ni Zitto Kabwe (Kigoma Kaskazini) ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Said Arfi (Mpanda Mjini) ambaye ni Naibu Mwenyekiti Taifa wa chama hicho, Mhonga Luhwanya (Viti Maalum), Jonh Shibuda (Maswa Magharibi), Maulida Komu (Viti Maalum).

Wengine ni Profesa Kulikoyele Kahingi,(Bukombe), Rachel Mashishanga(Viti Maalum), Raya Ibrahimu(Viti Maalum), Lucy Owenya (Viti Maalum) na Suzan Lyimo(Viti Maalum).

“Lakini wabunge John Mnyika (Ubungo) na Halima Mdee (Kawe), walitoa udhuru kwamba walikuwa wanaumwa na Philemon Ndesamburo (Moshi Vijijini) alikuwa safarini. Hawa hawatapewa barua ya kujieleza, ’’ alisema Lissu.

.... huyu in red, alifuata tu instructions za mzee wa vijisenti .... si jamaa anachukua hiyo!!!
 
- Mh. Zitto kaenda kutangaza siri za chama kwenye media kwamba kuna wabunge 10 yeye akiwemo waliogomea uamuzi wa Chadema kususa, halafu Mh. Lissu naye anaenda kwenye mediaa hiyo hiyo na kusema wabunge hao 10 wanatakiwa wajieleze kwa nini waligoma, so much kwa chama cha kutuletea mabadiliko hili taifa!

- You wonder na hili taifa, either tumelogwa au kuaalaniwa flani hivi!
, haiwezi kuwa hivi hivi tu!

William.
 
Zitto katika hili ndio anaakili timamu, na kwa wasio mjua hii barua itakuwa ya laki tatu kuiandika, wafanya biashara siasa wamjaribu huyu waone kitakachowakuta.
 
Back
Top Bottom