50,000 usdSh ngapi
Unalinganisha Mimba na KitambiMambo mengine marahisi sana kuyaelewa, kwa kifupi anayeweza kununua Prado anaweza nunua lanrdrover pia sasa kuna prado mpya ngapi Tanzania mbona hamshangai?
Unalinganisha Mimba na Kitambi
Yaaani huo ujinga wa mjapani ulinganishe na Defender??
Unajua maintenance yake hiyo gari??
Hamuelewi ishu kubwa sio kuweza. Ishu ni maintenance pia ya gari ya 2020 iliyotoka juzi tu we uwe nayoila bei yake mbona ni milioni kama 110 tu nahisi hiyo wengi wanaimudu kununua hata diamond anaweza nunua hiyo
Unadhani kwanini Land Rover hazijajaa? Zimejaa Toyota brands?
Haya bossBei ni sawa, hivyo swala la kwa nini hazijajaa inategemea na aina ya wateja na matumizi yao, kwa mfano mimi kama kwa matumizi ya Bongo nitanunua Toyota, kila mtu na mahitaji yake, usidanganywe na marketing, mwenye uwezo wa kununua Prado mpya anaweza kununua Landrover mpya pia, ...
ServiceUnadhani kwanini Land Rover hazijajaa? Zimejaa Toyota brands?
Ndo ubishi wenyewe nauongelea. Wewe unajua magariService
Bei ya Spare parts za land rover ipo juu