Client kama huyo unatemana nae tu, ndio maana wanakutana blogers, wanawapa price ndogo, wakipigwa na vitu vizito wana laumu tasnia nzima,
Site ya 3M anaambiwa laki 2 anafurahi akipigwa analalamikia ma IT wa Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23] wakatu yeye ndio mwehu,