Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,055
Kamati Maadili ya Bunge imewahoji Wahariri na Waandishi wa Habari wa Magazeti ya Mtanzania, Mwananchi na Nipashe kwa kosa la kutoa taarifa zinazohusu mwenendo wa kikao cha Kamati hiyo kitendo ambacho ni kinyume na kifungu cha 34 (1) (f) & (g) ya Sheria ya Kinga za Bunge.
----------
UPDATES>> 17, NOV. 2017
Spika wa Bunge, Job Ndugai awaonya wahariri wa magazeti ya Mtanzania, Mwananchi na Nipashe na kuwataka waliombe radhi Bunge ndani ya siku 5 kwa kosa la kutoa taarifa zinazohusu mwenendo wa kikao cha Kamati ya Maadili ya Bunge
----------
UPDATES>> 17, NOV. 2017
Spika wa Bunge, Job Ndugai awaonya wahariri wa magazeti ya Mtanzania, Mwananchi na Nipashe na kuwataka waliombe radhi Bunge ndani ya siku 5 kwa kosa la kutoa taarifa zinazohusu mwenendo wa kikao cha Kamati ya Maadili ya Bunge