Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,374
- 3,395
Waangalie wapi walikosea waleke bishe
Kwani Chuki ya mwanzo dhidi yao imekuwa ndogo kuliko ya sasa
Kwani watu wame ibiwa, Watu wamefungwa, watu wame poteza kazi, watu wame poteza wapendwa wao,
na bado hawaja pata walicho kitaka
Hivyo hasira ya watu dhidi yao nikuubwa zaidi ya mwanzo
Waambie watambue jukumu lao nikuwa tumikia wanainchi sio familia zao Wala ndugu zao Wala wao binafsi wasili sahau Hilo na ndilo lililo tufikisha hapa tulipo fikia kwa kuli puuzia
Waambie mtaani Kuna amani Ila mioyo ya watu Haina amani hivyo wakawe wafariji wa mioyo ya watu hasa katika kipindi hiki kigumu kwa kutenda sawa na kiu za watu wao
Mwisho waambie wasiwa toze shuru Bali wawape bure miili ya ndugu zao wakawa zike kwa amani huo ndiyo uungwana
Mungu ibariki Tanzania Mungu wajalie hekima na busara viongozi wa Tanzania 🙏🙏🙏
Kwani Chuki ya mwanzo dhidi yao imekuwa ndogo kuliko ya sasa
Kwani watu wame ibiwa, Watu wamefungwa, watu wame poteza kazi, watu wame poteza wapendwa wao,
na bado hawaja pata walicho kitaka
Hivyo hasira ya watu dhidi yao nikuubwa zaidi ya mwanzo
Waambie watambue jukumu lao nikuwa tumikia wanainchi sio familia zao Wala ndugu zao Wala wao binafsi wasili sahau Hilo na ndilo lililo tufikisha hapa tulipo fikia kwa kuli puuzia
Waambie mtaani Kuna amani Ila mioyo ya watu Haina amani hivyo wakawe wafariji wa mioyo ya watu hasa katika kipindi hiki kigumu kwa kutenda sawa na kiu za watu wao
Mwisho waambie wasiwa toze shuru Bali wawape bure miili ya ndugu zao wakawa zike kwa amani huo ndiyo uungwana
Mungu ibariki Tanzania Mungu wajalie hekima na busara viongozi wa Tanzania 🙏🙏🙏