waambie dada zenu...

waambie dada zenu...

KUWEDA

Member
Joined
Mar 5, 2013
Posts
41
Reaction score
6
Nimekuwa nikiexperience akinadada hasa hawa wanaojifanya globalization walitunga wao,wanapokuja ibaadani wanavaa nguo ambazo cc waumini wa kiume zinatupoteza mwelekeo ibaadani..utakuta mdada anakuja church kwanza amechelewa then viti(nafasi ya kukaa)vya akina mama vimejaa hvyo analazimika kukaa upande wa akinababa...sasa hyo sketi aliyovaa upaja wore uko nje,.kibrauzi amekurupua cha mdogo wake aliyemzidi Miaka 6..utafikiri ametoka sunsiro club akanyoosha kuwahi ibaada ya kwanza..sasa cc tunaokwenda kupunguza madhambi tunajikuta tunaongeza dhambi kwa kuvunja amri inayozuia kutamani..ukimtazama yeye walaaa.... ndo kwanza yuko bize anackiliza neno..WAAMBIENI DADA ZENU wacdhani wako under GLOBALIZATION bali wako under GLOBALWARMING..
 
Pole Mpwa, ungemfanyia maombi na kuripoti kwa viongozi WA Kanisa
 
Siku hizi wanafanya makanisa fashion show bana..

Via jamiiforum for berries
 
Unaonekana hujui kinachokupeleka kanisani.....simaanishi watu waendelee kuvaa hivyo ulivyoviona bali ishinde tamaa na umshinde shetani.Aliyesimama katika neno hata uvae ushuzi gan wala hatikisiki
 
Kumradhii Mungu analijua sakata hilo "hawa ni vizazi vipya" hizo ni special cases !!
 
ah wee wakamate uwagegede tuu wamekuja kuuza papuchi hapo. wape wanachotaka
 
Miss strong wew kama ni mdada hujui huwa tunajickije wanaume pindi mdada anapojiachia wazi...mi nikija kwako upaja wangu iko nje utafeel kitu keel?..ki fupi najua kinachonipeleka church ila Gao wanaovaa uchi waulize wanajua wako WaPo,,pengne wao wanajua WaPo club kumbe wamewrong way.
 
Unaonekana hujui kinachokupeleka kanisani.....simaanishi watu waendelee kuvaa hivyo ulivyoviona bali ishinde tamaa na umshinde shetani.Aliyesimama katika neno hata uvae ushuzi gan wala hatikisiki

Asee miss strong nimekumiss umepata salamu zangunkutoka kwa Baba V? Umesali wapi
 
Last edited by a moderator:
Njoo uku kwetu msata amna watoto wa globalisation uku
 
kanisani kwetu ukija umevaa kimtego unapewa kanga
 
hilo kanisa lenu kama msikiti wababa mnakaa upande wenu na wa mama upande wao?

Kuja kwenye topic kuna dada niliwahi kumlipia sadaka kwa umini aliotupia
 
hujaenda kusali wewe

Ukiwa umezama kwenye maombi

Roho yako imejikita kumwomba Mungu

Hata akae bila nguo hutomwona na ukimwona utamwombea Mungu amguse abadilike


Ila ukienda kanisani macho juu juu kuangalia fashio za nywele na mashati hata gunio utaona ni transparent
 
hujaenda kusali wewe

Ukiwa umezama kwenye maombi

Roho yako imejikita kumwomba Mungu

Hata akae bila nguo hutomwona na ukimwona utamwombea Mungu amguse abadilike


Ila ukienda kanisani macho juu juu kuangalia fashio za nywele na mashati hata gunio utaona ni transparent


Hv wew ni jinsia ya kiume kwel Wewe.ukiona upaja nliouona utaduwaa mwenyewe..nliyemuona mm co gumegume ni mshombeshombe.
 
Hajanipa salam zako sijui ana ajenda gani binafsi.....nimekumiss pia,mzima ww????

Nilikutumia salam, sema tulikuwa bize na marekebisho ya sistimu ya mfumo wa mtandao kwenye netweki... Kifupi ni kuwa alisema anakusudia kufunga ndoa rasmi na DEMBA wiki hii. Ameomba upunguze kum bip bip, Pm na mizinga ya hapa na pale kama ulivyozoea. Ni hayo tu......
 
Last edited by a moderator:
....unataka wavae madera na baibuiiii....ofisini yanapigwa marufuku, mtaani atajionesha saa ngapi...ibadani ndiko adhaniako...ukute anaposali wanacheza kwaito/ruka rukaaaa...full kujiachia
 
Back
Top Bottom