Waalimu msipomchagua Lowassa mmeula wa chuya

Waalimu msipomchagua Lowassa mmeula wa chuya

swagazetu

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
4,253
Reaction score
1,475
Katika mazingira ya kawaida ni wazi Lowasa ana mapenzi mema kwa waalimu na anao uwezo wa kiwaletea matumaini mema ya mishahara na mazingira mapya na mazuri na maisha bora kwa waalimu.

Waalimu mchagueni Mh.Lowasa kwa maisha ya matumaini na bora.
 
wamekusikia mana wamechoka na migomo.
 
Tuonyeshe kitu kimoja alichowafanyia walimu alivyokuwa waziri mkuu...wazee wa "kuishi kwa matumaini: bana..ah
 
Tuonyeshe kitu kimoja alichowafanyia walimu alivyokuwa waziri mkuu...wazee wa "kuishi kwa matumaini: bana..ah

Mkuu lowassa alionyesha mfano pale alipowachangia walimu kwenye mfuko wao pale kilimanjaro kiasi cha 1b kiasi hichi wala jk hajawahi weza japo amekaa madarakani miaka kumi
 
Mkuu lowassa alionyesha mfano pale alipowachangia walimu kwenye mfuko wao pale kilimanjaro kiasi cha 1b kiasi hichi wala jk hajawahi weza japo amekaa madarakani miaka kumi

Naunga mkono maneno haya kwa 1000%
 
Mkuu lowassa alionyesha mfano pale alipowachangia walimu kwenye mfuko wao pale kilimanjaro kiasi cha 1b kiasi hichi wala jk hajawahi weza japo amekaa madarakani miaka kumi

Hiyo 1b aliitoa wapi?mbona wabongo tunajitoa ufahamu?
 
wewe ndio unajitoa ufahamu swali lilikuwa aliwafanyia nini walimu wakati akiwa waziri na jibu ni kuwa aliwachangia walimu pesa, sasa nani anayetijitoa ufahamu mbona hueleweki?
 
Katika mazingira ya kawaida ni wazi Lowasa ana mapenzi mema kwa waalimu na anao uwezo wa kiwaletea matumaini mema ya mishahara na mazingira mapya na mazuri na maisha bora kwa waalimu.

Waalimu mchagueni Mh.Lowasa kwa maisha ya matumaini na bora.


ili iweje tumeishapata mwalimu mwezetu na lowasa akachaguliwe na matajiri wenzake

 
Wabongo ni wepesi kusahau na hakika tutaendelea kuangalia karibu kwa kupewa fedha kutoka kwa watu na kuona wa maana wakati hela hiyo imetoka kwenye rasilimali zetu ambapo tunatakiwa tugawane wote.
 
wewe ndio unajitoa ufahamu swali lilikuwa aliwafanyia nini walimu wakati akiwa waziri na jibu ni kuwa aliwachangia walimu pesa, sasa nani anayetijitoa ufahamu mbona hueleweki?

akizitoa wapi na za nini ?
kwenye moshahara au posho zao hacha mboyouo wewe yaifa linarudi chini ya rais mwalimu siasa zenu pelekeni huko za kinafiki,
 
Wabongo ni wepesi kusahau na hakika tutaendelea kuangalia karibu kwa kupewa fedha kutoka kwa watu na kuona wa maana wakati hela hiyo imetoka kwenye rasilimali zetu ambapo tunatakiwa tugawane wote.

mkuu kama mtei na mkwe wake wamesaau ya mwembeyanga kwa hongo za kifisadi eti jamaa anataka kuwakomoa waliomkata itakuwaje wakulima wa kawaida
 
Mkuu lowassa alionyesha mfano pale alipowachangia walimu kwenye mfuko wao pale kilimanjaro kiasi cha 1b kiasi hichi wala jk hajawahi weza japo amekaa madarakani miaka kumi
kumbe walimu wa kilimanjaro lakini sio hatu aliowachangia pesa za kifisadi anarudisha pesa zetu alizoiba akiwa mkurungezi wa icc,
 
Lowasa alishafanya tukio la aina yake kwenye sacoss ya walim moshi.vijijin alihamasusha uchangiaji pale .....walim watampa kura anawajali
 
Back
Top Bottom