Plato
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 420
- 94
Mwaka jana nilisikia eti baraza la mawaziri waliamua kuwa mwaka huu walimu kama madaktari wataajiriwa wakiwa bado vyuoni.bado mwezi mmoja tu na sijaona dalili ya kitu kama hicho.mbaya zaidi nasikia serikali haina fedha.au mwaka huu pia kama mwaka jana walimu kusota miezi nane mtaani,wakati shule hazina walimu? Mwenye taarifa atujuze.