Hakuna sheria yeyote ya kazi inayomtaka mwombaji aweke picha yake kwenye barua ya maombi. Ikiwa mwajiri anahitaji picha basi hilo hutakiwa kufanywa na wale walio short-listed au, wanaoajiriwa tayari. Na tukumbuke kwa sheria za nchi nyingine, ni makosa kuweka picha yako kwenye CV kama unaomba clerical post ambayo si yenye kuhusika na customer care. The employer should not be attracted to ones personal appearance.
Labda nachoweza kukisia ktk hili ni udhibiti wa umri. Japo sioni kama ndio njia, lkn kwa akili zetu za kupandisha bei ya mafuta ya taa kuzuia uchakachuaji lolote laweza kuwa jibu sahihi. Kwa hiyo niconclude tu kuwa huo ni ufukunyuku wa kutaka kuwaangalia watu sura. Ole wetu wenye sura kama Sikamona