Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,658
- 4,866
Ukienda pale Senegal, kuna UFO ipo pale, alien walikuja nayo na kuiacha, hawajulikani walikwenda wapi.
Alien hapa duniani wanatua popote pale si Marekani tu ila tatizo letu sisi, tukiwaona aliens tunasema ni majini, tunaanza kukemea na kusoma dua.
Tatizo lipo hapo tu. Leo ukikutana na alien usiku, kesho unaenda kanisani, unamwambia pasta uneona jini😂😂😂
Alien hapa duniani wanatua popote pale si Marekani tu ila tatizo letu sisi, tukiwaona aliens tunasema ni majini, tunaanza kukemea na kusoma dua.
Tatizo lipo hapo tu. Leo ukikutana na alien usiku, kesho unaenda kanisani, unamwambia pasta uneona jini😂😂😂