Wa busha kidogo antoe roho

Wa busha kidogo antoe roho

Ha ha ha! Nasikia yanatoaga bao lita hayo.

Eti kuna sehemu watu huenda kwa watalaamu ili kuyatengeneza maana ni heshima katika jamii hizo. Asiyekuwa nalo hatakiwi kwenye kundi la "wazee" hao. Hata akina mama hawamthamini asiyekuwa nalo. Bongo kweli kubwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom