Vyuoni network kuhusu rushwa ya ngono ni kubwa sana

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Wanabodi !

Vyuoni kuna rushwa ya ngono kubwa mno , ya kufa mtu. Kuna mpaka mawakala.

Walimu wakiume wanawatafua vizuri sana madent wa kike ili wafaulu tests , university examinations etc...Na kuna tabia ya wadada "kuwavuta" walimu wa kiume ili wawatafune wasipate shida kukomaa wakijisomea mitihani.

Wanachuo wa kiume (masela) ni viungo muhimu sana vya mtandao huo..

Mbaya zaidi siku hizi unakuta madent wa vyuo wanakula pombe na walimu wao , huko kunashawishi kutafunana kirahisi sana...

Umezuka mtindo madent wa vyuo mbalimbali kuwa na connection za ukahaba /kuunganishana ili walimu wawatafune..Na siku hizi unakuta mwalimu ni young mno , damu inachemka na wanapenda sana bata.

Dada zetu vyuoni wanatafunwa kinyama !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ivi hamnaga ma lecturers wakike wanaowakazia wanafunzi wa kiume mpaka wale mzigo ?
 
Kuna bwege mmoja sitokuja nimsahau alipotaka kuni disco kwa makusudi miaka ile, kisa tu nilikua nammiliki mtoto mkali halafu yeye alipojaribu kumpata akapigwa kibuti.

Ni miujiza tu ya Mungu ndiyo iliyoniokoa, maana jina lilishatoka mpaka kwenye gazeti la serikali la Daily News! Ndipo nilipokata rufaa kwenye SENATE ya chuo na kushinda rufaa yangu kwa kishindo.

Kuna umuhimu wa kuwa na Baraza la Mitihani la Taifa kwa upande wa elimu ya Chuo kikuu! Wakufunzi wamepewa mamlaka makubwa sana ya kuamua hatma ya wanafunzi.
 
wabinti wanataka wenyewe tena kwa ridhaa yao unategemea nini? siku hizi kawaida tu walimu mpaka wa sekondari kuchat na wanafunzi wao.
 
Wanabodi !

Vyuoni kuna rushwa ya ngono kubwa mno , ya kufa mtu. Kuna mpaka mawakala.

Walimu wakiume wanawatafua vizuri sana madent wa kike ili wafaulu tests , university examinations etc...Na kuna tabia ya wadada "kuwavuta" walimu wa kiume ili wawatafune wasipate shida kukomaa wakijisomea mitihani.

Wanachuo wa kiume (masela) ni viungo muhimu sana vya mtandao huo..

Mbaya zaidi siku hizi unakuta madent wa vyuo wanakula pombe na walimu wao , huko kunashawishi kutafunana kirahisi sana...

Umezuka mtindo madent wa vyuo mbalimbali kuwa na connection za ukahaba /kuunganishana ili walimu wawatafune..Na siku hizi unakuta mwalimu ni young mno , damu inachemka na wanapenda sana bata.

Dada zetu vyuoni wanatafunwa kinyama !

Sent using Jamii Forums mobile app
Biungo byao, na uvivu wa kutopenda kujisomea ngoja watinduliwe, sasa nachoshangaa wewe unaumia, hafu nyie wenye kulalamika mkipata pesa huwa mnakuwa wazinzi sana
 
Mpo bize kusema rushwa ya Ngono ila hamsemi wanafunzi wanao jiuliza vyuoni hamsemi namna watoto wakiume wanvochukua watoto wakike nakuishi nao kama wake zao haya hamuyaoni
Asilimia 50 ya watoto wakike vyuoni ni makahaba na wadangaji 25%wameolewa na bodaboda iliwakidhi mahitaji Yao
Haya yote hamuyaoni nakwakuwa ninyi wengi wenu hamuishi nao munadanganywa tu rushwa ya ngono kumbe sio kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom