mbona kama kuna kuchanganyana?wanawatumia vp sms wakati selection haijatangazwa rasmi?wanajuaje kuwa fulani na fulani walifanikiwa kuona hiyo selecetion hiyo jumamosi?wametumowa tu wale waliofanikiwa kuziona selection zao kwa airtel au kuna ambaye hakuona selection lakini ametumiwa?ufafanuzi kidogo