hispotal ya mkoa unazipata pale mie nimechukua tayar na nilishatuma km unahitaji ni PM nikuelekeze uje kuchukua mazimbu
mkuu ni pm no zako
hispotal ya mkoa unazipata pale mie nimechukua tayar na nilishatuma km unahitaji ni PM nikuelekeze uje kuchukua mazimbu
jaman kwa wale wenzangu mnaoishi dar naombeni mnisaidie kunitajia chuo chochote kilicho dar kinachotoa certficate niombe ikibdi hata dip maana fomiv nna di3 chemC biosC phyD mathsB naomben msaada wenu ndugu no zang ni0756000189 mnisaidie jama