Ilonga ni chuo kikubwa tu.. Mwambie aombe fasta maana maombi yameshaanzaYeye yupo Morogoro.
Nilisikia Ilonga pia ni moja kati ya vyuo vikubwa vya kilimo,sasa napenda kujiridhisha ili nisimpoteze ninapomshauri kuhusu chuo bora ili akatimize malengo
Ahsante kwa direction kiongozi.Kuhusu government sponsorship huwa wizara ndo inachagua wanafunzi, hvyo wizara hutoa priority kwa wale wenye ufaulu wa juu, So kwa matokeo hayo unaweza pata mkuu...
Nilitaka ijumaa hii ndio tuombe ila nijiridhishe kwenye ubora wake kabla ya kuomba maana wengine wanadai kimeshuka thamani kwa sasaIlonga ni chuo kikubwa tu.. Mwambie aombe fasta maana maombi yameshaanza
Ok.. kila la kheri mkuu katka michakato yenu hiyoNilitaka ijumaa hii ndio tuombe ila nijiridhishe kwenye ubora wake kabla ya kuomba maana wengine wanadai kimeshuka thamani kwa sasa
Shukrani sana kiongoziOk.. kila la kheri mkuu katka michakato yenu hiyo
Vyuo vya kilimo vyote vina research centre pale pale hasa vya serikali!Kweli mkuu kama kile cha Mtwara kina reseach site palepale
Sawa master umesomeka vya kutoshaVyuo vya kilimo vyote vina research centre pale pale hasa vya serikali!
Ci kweli mkuu,hakuna course nzuri kama kilimo,labda usome chuo cha kipuuziNwambie akasome elimu ya juu anatafta chuo cha kili na hzi mvua za mgao wakulima xa hiv wanahama hiyo sekta atakuja amcmamie nan
Ahsante kwa mtazamo wako kiongozi.Ci kweli mkuu,hakuna course nzuri kama kilimo,labda usome chuo cha kipuuzi
Hata huko atafika hadi majuuLkn kwanini uzunguke nenda high school
Matokeo take mazuri namshauri aende f,fiveHata huko atafika hadi majuu
Hata huko atafika hadi majuu
Sawa mkuu amekupata...Matokeo take mazuri namshauri aende f,five
[emoji15]I appliciate uyole cos i studed there as long ago
Acha mawazo mgando kjana ur human being nt God una uwezo wa ku predict future so be humbleNwambie akasome elimu ya juu anatafta chuo cha kili na hzi mvua za mgao wakulima xa hiv wanahama hiyo sekta atakuja amcmamie nan