Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,346
- 21,244
Nimesikia ni Udom....Suza...St Francis.....Imtu NA Udsm naomba ufafanuzi sababu ni IPI ya kuvifungia hivyo vyuo?
Upuuzi wa ndalichako mbeleni tutaona uchafu wake
Me nipo Udsm nachukua degree ya MD na chuo hakijafungiwa, kwa vyuo vngne nadhan ni kwa sababu ya kupunguza kuwepo kwa idadi kubwa y madaktari bcaz kwa vyuo vyte wahitimu wanaongezeka kiasi cha serikali kushindwa kuaccomodate feza za internship, kwa anaetaka kujua chchte kuhsu md udsm, ur welcom
Kwanini mmekuwa wavivu sana wa kusoma hadi mnatia aibu sana? Kwanini unajipotosha? Ni wapi kuna UdsmNimesikia ni Udom....Suza...St Francis.....Imtu NA Udsm naomba ufafanuzi sababu ni IPI ya kuvifungia hivyo vyuo?
degree ya MD [emoji15] [emoji15] [emoji15]Me nipo Udsm nachukua degree ya MD na chuo hakijafungiwa, kwa vyuo vngne nadhan ni kwa sababu ya kupunguza kuwepo kwa idadi kubwa y madaktari bcaz kwa vyuo vyte wahitimu wanaongezeka kiasi cha serikali kushindwa kuaccomodate feza za internship, kwa anaetaka kujua chchte kuhsu md udsm, ur welcom
hamna kitu kinaitwa degree ya MD ,MD yenyewe inajismamia hivyohivyo, unaposema doctor of medicine tayari umemaanisha ni degree, nadhani ulidoji orientation course kijana.
Ilipaswa kushirikiana nao kurekebisha kasoro hizo, au huyaoni mafanikio baada ya kuishirikisha jamii kwenye ujenzi wa maabara kote nchini na zoezi la madawatiUlitaka watu waendelee kusoma ilihali kuna kasoro kibao?
Taratibu mkuu! Hata huko kusoma lazima niitafute source sahihi...kuleta hapa pia ni njia mojawapo ya kusoma.Kwanini mmekuwa wavivu sana wa kusoma hadi mnatia aibu sana? Kwanini unajipotosha? Ni wapi kuna UdsmView attachment 369770
Ndaluchako anajua akifanyacho aachwe....labda kama unaleta Ubavicha sawa.Upuuzi wa ndalichako mbeleni tutaona uchafu wake
Usingee kitu km huna proof dude!! Udom wanasoma udaktari lkn hakuna hospitali nearby..kufanya practice za "cadavva" tu ni ishu..kwa upeo wako unahisi hiki chuo kina iwezo wa kutengeneza COMPITENT DOCTORS!?? jibu ni NO..so STHU and letthem do their job..Upuuzi wa ndalichako mbeleni tutaona uchafu wake
Kumbeeeeeeehamna kitu kinaitwa degree ya MD ,MD yenyewe inajismamia hivyohivyo, unaposema doctor of medicine tayari umemaanisha ni degree, nadhani ulidoji orientation course kijana.
Hata mi cjui.Nimesikia ni Udom....Suza...St Francis.....Imtu NA Udsm naomba ufafanuzi sababu ni IPI ya kuvifungia hivyo vyuo?
Trigeminal hua unanifurahisha sanaIla ningekua mimi ndo waziri chuo cha kwanza kukifungia MD kingekua UDSM then AJUCO ,ST HOSEPH and ST FRNCIS
Ndo hvo kaka,mlioko kwenye system mnanielewa vizur kabisa, tatizo kuna watu wanashabikia tu kumbe wapo udsm wanasoma BCOM hawajui kinachojiri kwa wenzao huko.Trigeminal hua unanifurahisha sana