Jamani hebu kuweni pro active basi hata kidogo. So far shule na vyuo haijulikani lini vinafunguliwa, kwanini msijiongeze kutumia mifumo ya mawasiliano kufundisha kipindi hichi?
Nafahamu baadhi ya shule za msingi English medium wameanza kufundisha watoto kwa kutumia Zoom; you cant imagine unamsetia mtoto laptop masomo yanaendelea. Japo watoto wanashindwa ku-intereact vizuri na system lakini kwa kweli wanasoma.
Tukija vyuoni, unashangaa vyuo vingi nchini wamefunga and nothing goes on. Jamani jiongezeni.
Nilisikia wanafunzi wa chuo cha uhasibu Arusha kuwa wanaendelea na masomo kwa njia ya mtandao na kwamba masomo yakiruhusiwa ni kuja kufanya mitihani etc.
Vyuo msikae na kupoteza muda, kwa kuwa wanafunzi wa vyuo ni rahisi kuinteract na systems kama zoom etc tumieni huu muda wanafunzi wasome.
Yawezekana zikawepo changamoto za vifurushi vya internet na mengineyo, lakini ni muhimu vyuo vifanye juu chini kutatua changamoto hizo. Cha muhimu wanafunzi wasome katika kipindi hiki badala ya kupoteza muda.
Nafahamu baadhi ya shule za msingi English medium wameanza kufundisha watoto kwa kutumia Zoom; you cant imagine unamsetia mtoto laptop masomo yanaendelea. Japo watoto wanashindwa ku-intereact vizuri na system lakini kwa kweli wanasoma.
Tukija vyuoni, unashangaa vyuo vingi nchini wamefunga and nothing goes on. Jamani jiongezeni.
Nilisikia wanafunzi wa chuo cha uhasibu Arusha kuwa wanaendelea na masomo kwa njia ya mtandao na kwamba masomo yakiruhusiwa ni kuja kufanya mitihani etc.
Vyuo msikae na kupoteza muda, kwa kuwa wanafunzi wa vyuo ni rahisi kuinteract na systems kama zoom etc tumieni huu muda wanafunzi wasome.
Yawezekana zikawepo changamoto za vifurushi vya internet na mengineyo, lakini ni muhimu vyuo vifanye juu chini kutatua changamoto hizo. Cha muhimu wanafunzi wasome katika kipindi hiki badala ya kupoteza muda.
