Vyumba 2 vinapangishwa Kibo Ubungo

Vyumba 2 vinapangishwa Kibo Ubungo

Jerhy

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
3,135
Reaction score
1,000
Habari!
Napenda kutoa nafasi kwa wahitaji wa vyumba safi, vyenye usalama na huduma ya maji. Vyumba vipo Kibo Ubungo na kuna choo ndani, nje sehemu kubwa ya kupika, kuweka mkaa, ndoo za maji na vinginevyo ulivyonavyo. Imebaki miezi miwili ili mkataba uishe japo mmiliki imempasa kuondoka na anaviuza kwa Tsh 500,000/= baada ya hapo unasaini mkataba wa miezi 3 na utakuwa unalipia kila mwezi Tsh 150,000/=. Nyumba ni mpya ndo imeanza kukaliwa mwezi wa disemba 2014. Ni ruhusa kuja kuona ni free hakuna charges Mawasiliano na picha Karibu whatsapp 0787459850
 
Sio laki kwa mwezi be Sirius kwa rent mi nahitaji ila uwezo wangu laki na nipo baruti
 
Kama mmiliki amebakiza miez 2 maktaba wake uishe inamaana refund yake ni laki 3, sasa hy laki 5 inaletwa na nini?
 
Kama mmiliki amebakiza miez 2 maktaba wake uishe inamaana refund yake ni laki 3, sasa hy laki 5 inaletwa na nini?

hayupo serious.so kwa miezi 5 ya mwanzo jumla unalipa laki 9.5
 
Jamaa walipigana kugombania hivyo vyumba kumbe kuna faida kufika na kuona kuliko kuporomoka mitandaoni nilichoshangaa eti wakapandishiana dau tafadhali mwenye nyumba mi nitalipia laki mbili kila mwezi kwa hadhi na ukubwa wa vyumba ulivyo. Teheeeeee teheeee makazi Dar ni issue aiseeeee.
 
Back
Top Bottom