Vyoo vya Uwanja wa Taifa

Vyoo vya Uwanja wa Taifa

Kama hamna maji ya nini kushusha mzigo? si ndio uchafu wenyewe?
Kwahyo we unahisi mzgo tu ndo uchafu?hata mkojo ni uchafu,ivo maji kuwepo choon n lazma,either unashusha mzgo au kamzgo maji lazma yatumike
 
Kwahyo we unahisi mzgo tu ndo uchafu?hata mkojo ni uchafu,ivo maji kuwepo choon n lazma,either unashusha mzgo au kamzgo maji lazma yatumike

Umemjibu vizuri Katavi, I wish kungekuwa na like nyingine nikugee
 
Zile asilimia 15 ya mapato ya uwanja zinakwenda wapi?

Aaah, hizo za kwenda kunywea bia na kuhonga mkuu. Hali ni mbaya sana kwa vyoo vya Uwanja wa Taifa, yaani inatia kinyaa sana. Wanashindwaje kuwa na tank kubwa kwa ajili ya kutunzia maji na kufanyia usafi vyoo?! Bado wanakata asilimia 15 kama gharama za uwanja?! Yaan watu wapo hovyo sana.
 
Back
Top Bottom