Tatizo kubwa sana hili. Mue ninaishi nyumba ya ghorofa moja na master ina balcony ambayo inatazamana na choo cha jirani yangu ambacho hakina paa. Ukikaa kwenye balcony watu hawaendi chooni siku hiyo. Imebidi nisiwe nakaa kwenye balcony kuwapa faragha majirani
Sent from my SM-A217F using
JamiiForums mobile app