Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,976
- 2,175
Ndani ya kipindi kisichozidi miaka 15, Tanzania kama taifa tumeshuhudia kwa kusikia na kuona matukio mengi kuhusu uhalifu na ufisadi mkubwa. Meremeta, Deep Green, Richmond, EPA, Escrow, container bandarini, rushwa wakati wa michskato ya uchaguzi, ubadhirifu Muhimbili etc.
Je kwanini kashifa hizi huwa haziibuliwi na vyombo vya dola mpaka vinavyohusu kazi hizo yaani TAKUKURU, POLISI na WIZARA HUSIKA. Ati ni mpaka wabunge au magazeti yaibue ndipo inatokea patashika ya kuziba hapa na pale.
Nafarijika kwa sasa haya mambo yanaibuliwa na viongozi wakuu (rais au waziri mkuu), lakini jee Takukuru, Polisi na Wizara husika wanafanya nini?
Je kwanini kashifa hizi huwa haziibuliwi na vyombo vya dola mpaka vinavyohusu kazi hizo yaani TAKUKURU, POLISI na WIZARA HUSIKA. Ati ni mpaka wabunge au magazeti yaibue ndipo inatokea patashika ya kuziba hapa na pale.
Nafarijika kwa sasa haya mambo yanaibuliwa na viongozi wakuu (rais au waziri mkuu), lakini jee Takukuru, Polisi na Wizara husika wanafanya nini?