SAMARITANO
New Member
- Sep 2, 2016
- 4
- 3
Tafadhali kama unamfahamu mwenye jina la LUCY KIDUBO mtaarifu kuwa kuna mtu anavyo vyeti vyake alivyovipoteza, inaonyesha ni mwanafunzi wa UDOM maana kuna payslip za UDOM. Halafu niPM nikupe namba ya mawasiliano