Vyeti vya kughushi scenario

MIGNON

JF-Expert Member
Nov 23, 2009
4,108
5,110
Mtuhumiwa anapotiwa hatiani kabla hakimu hajaangusha hukumu hukumu anapewa nafasi ya kuelezea/kuomba nafuu.Wengi tunawasikia wakisema 'Ni kosa langu la kwanza naomba nisamehe" wengine "nina ugonjwa nakunywa dawa" na hata wengine wanataja ukubwa wa familia zao.

Tumekamatwa na kosa la kufoji vyeti na hili ni kosa kwa mujibu wa sheria ila ili tusaidiane katika kuomba nafuu kwa HAKIMU naomba tuangalie scenario tofauti,mimi natoa moja.

"Nilimaliza darasa la saba na nikawa nafanya kazi katika maabara ya magonjwa ya binadamu.Ilipofika mwaka 1992 nikapata nafasi ya kwenda kusoma lab assistant Singida na kuanzia hapo nimefanya kazi sehemu mbalimbali mpaka kufikia ku operate machine za biochemistry na Haematology.Pia nina uwezo wa kuafanya Gram stain,ZN stain na mengine mengi.
Ilipofika mwaka 2013 nikawa na nia ya kuchukua Diploma Muhimbili na hapo ndipo nilipoingia mtegoni kwani ilibidi niwe na cheti cha kidato NNE.Niliingia na nikamaliza Diploma kwa kufaulu vizuri kabisa na kwa sasa nafanya katika mradi mmoja wa utafiti wa Kimataifa ingawa ajira ndio hiyo imesitishwa jana"

Hi ni scenario mojawapo kati ya nyingi na naomba mnisaidie,
  • Je mtu huyu anayo haki ya kutumia certificate yake?
  • Vipi michango katika hifadhi ya jamii?
Naomba waungwana ambao wanawaza na kuona mbali tuchangie tukichukulia uhalisia wa nchi na upungufu wa kwenye mfumo.Kwa wale amabao walishatoa hukumu na wengine kufikia kusema ingekuwa China wangeshauawa wauache uzi huu.
 
Mkuu tukio zima la uhakiki wa vyeti ni kama sinema..

Kinachoonekana ni kwamba serikali imeishiwa uwezo wa kuwalipa watumishi serikalini.

Na hivyo zoezi waliloona linafaa ilikuwa ni kupunguza wafanyakazi..

Lakini serikali hii ya awamu ya tano ikaona ikija na zoezi la kupunguza wafanyakazi kelele na resistance itakuwa kubwa kwasababu toka waingie madarakani hawajawahi kuajiri na still wanataka kupunguza..

Ndio wakaja na hii sinema ya uhakiki wa vyeti ili lengo lao la kupunguza wafanyakazi litimie.

Na ndio maana Zoezi hili hajiwagusa Mawaziri, Ma rc na ma dc na wakurugenzi wa halmashauri maana target sio kuwapunguza hao ila kupunguza kada nyingine za chini.

Maana kama ni kweli serious uhakiki wa vyeti wote walipaswa kuhakikiwa wote bila kutengeneza matabaka.
 
Mtuhumiwa anapotiwa hatiani kabla hakimu hajaangusha hukumu hukumu anapewa nafasi ya kuelezea/kuomba nafuu.Wengi tunawasikia wakisema 'Ni kosa langu la kwanza naomba nisamehe" wengine "nina ugonjwa nakunywa dawa" na hata wengine wanataja ukubwa wa familia zao.

Tumekamatwa na kosa la kufoji vyeti na hili ni kosa kwa mujibu wa sheria ila ili tusaidiane katika kuomba nafuu kwa HAKIMU naomba tuangalie scenario tofauti,mimi natoa moja.

"Nilimaliza darasa la saba na nikawa nafanya kazi katika maabara ya magonjwa ya binadamu.Ilipofika mwaka 1992 nikapata nafasi ya kwenda kusoma lab assistant Singida na kuanzia hapo nimefanya kazi sehemu mbalimbali mpaka kufikia ku operate machine za biochemistry na Haematology.Pia nina uwezo wa kuafanya Gram stain,ZN stain na mengine mengi.
Ilipofika mwaka 2013 nikawa na nia ya kuchukua Diploma Muhimbili na hapo ndipo nilipoingia mtegoni kwani ilibidi niwe na cheti cha kidato NNE.Niliingia na nikamaliza Diploma kwa kufaulu vizuri kabisa na kwa sasa nafanya katika mradi mmoja wa utafiti wa Kimataifa ingawa ajira ndio hiyo imesitishwa jana"

Hi ni scenario mojawapo kati ya nyingi na naomba mnisaidie,
  • Je mtu huyu anayo haki ya kutumia certificate yake?
  • Vipi michango katika hifadhi ya jamii?
Naomba waungwana ambao wanawaza na kuona mbali tuchangie tukichukulia uhalisia wa nchi na upungufu wa kwenye mfumo.Kwa wale amabao walishatoa hukumu na wengine kufikia kusema ingekuwa China wangeshauawa wauache uzi huu.

Majina yaliyopo kwenye cheti za Kuzaliwa, la saba na Certificate ni sawa?
Cheti chako cha form four ni cha mwingine au cha kugushi namaanisha ulitengeneza tu lakini kina majina yako (hakina reference kokote), hiyo diploma ina majina gani?
 
Mkuu tukio zima la uhakiki wa vyeti ni kama sinema..

Kinachoonekana ni kwamba serikali imeishiwa uwezo wa kuwalipa watumishi serikalini.

Na hivyo zoezi waliloona linafaa ilikuwa ni kupunguza wafanyakazi..

Lakini serikali hii ya awamu ya tano ikaona ikija na zoezi la kupunguza wafanyakazi kelele na resistance itakuwa kubwa kwasababu toka waingie madarakani hawajawahi kuajiri na still wanataka kupunguza..

Ndio wakaja na hii sinema ya uhakiki wa vyeti ili lengo lao la kupunguza wafanyakazi litimie.

Na ndio maana Zoezi hili hajiwagusa Mawaziri, Ma rc na ma dc na wakurugenzi wa halmashauri maana target sio kuwapunguza hao ila kupunguza kada nyingine za chini.

Maana kama ni kweli serious uhakiki wa vyeti wote walipaswa kuhakikiwa wote bila kutengeneza matabaka.
Wakurugenz wa mamlaka za serikali za mitaa wote wamehakikiwa, makatibu tawala wa mikoa na Wilaya wote wamehakikiwa

Hakuna mtumishi wa umma aliyeachwa isipokuwa wenye vyeo vya kisiasa tu km vile RC, DC, mawaziri, wabunge, madiwani
 
Issue hapa ni vyeti na wenye sifa ni wengi sana ila wapo mtaani ...... wewe umejua kabisa kufoji vyeti ni kosa then ukafoji yamekukuta unaleta stori za familia, habari za unaumwa sana kwani wakati unafoji huku angalia mambo kama hayo? binafsi ninaona serikali iko sahihi katika hili na isitoshe watz sisi wenye ndio ambao tulikuwa tukiongoza kwa kulalamika kuwa ndani ya serikali kuna watu wengi ambao hawana sifa ....... Atumbue tu maana hamna namna
 
Majina yaliyopo kwenye cheti za Kuzaliwa, la saba na Certificate ni sawa?
Cheti chako cha form four ni cha mwingine au cha kugushi namaanisha ulitengeneza tu lakini kina majina yako (hakina reference kokote), hiyo diploma ina majina gani?
"Cheti cha kuzaliwa ni majina yangu,cheti cha form four nilitengeneza mahali,diploma ina majina yangu matatu"
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Issue hapa ni vyeti na wenye sifa ni wengi sana ila wapo mtaani ...... wewe umejua kabisa kufoji vyeti ni kosa then ukafoji yamekukuta unaleta stori za familia, habari za unaumwa sana kwani wakati unafoji huku angalia mambo kama hayo? binafsi ninaona serikali iko sahihi katika hili na isitoshe watz sisi wenye ndio ambao tulikuwa tukiongoza kwa kulalamika kuwa ndani ya serikali kuna watu wengi ambao hawana sifa ....... Atumbue tu maana hamna namna
Nilitahadharisha tangu kabla ya kuwa wale ambao tayari wamehukumu watuachie uzi huu.Soma vizuri.
 
Mkuu tukio zima la uhakiki wa vyeti ni kama sinema..

Kinachoonekana ni kwamba serikali imeishiwa uwezo wa kuwalipa watumishi serikalini.

Na hivyo zoezi waliloona linafaa ilikuwa ni kupunguza wafanyakazi..

Lakini serikali hii ya awamu ya tano ikaona ikija na zoezi la kupunguza wafanyakazi kelele na resistance itakuwa kubwa kwasababu toka waingie madarakani hawajawahi kuajiri na still wanataka kupunguza..

Ndio wakaja na hii sinema ya uhakiki wa vyeti ili lengo lao la kupunguza wafanyakazi litimie.

Na ndio maana Zoezi hili hajiwagusa Mawaziri, Ma rc na ma dc na wakurugenzi wa halmashauri maana target sio kuwapunguza hao ila kupunguza kada nyingine za chini.

Maana kama ni kweli serious uhakiki wa vyeti wote walipaswa kuhakikiwa wote bila kutengeneza matabaka.
Umenena kweli
 
Sakata la vyeti ni kizungumkuti, kwa watu wenye uwezo wa kufanya kazi wangepunguzwa sifa zao,mfano wewe ulitakiwa urudishwe kwenye sifa ya astashahda badala ya stashahada.
Nakumbuka mwaka fulani nilikuwa Songea,na kulikuwa na afisa mmoja wa polisi akiwa na wadhifa mkubwa kule CCP na zilipotoka nafasi za upolisi alisomba wafanyakazi wake wa ndani kama saba hivi,kuanzia walisha mifugo,wapishi,watunza bustani na mashmba wote wakaingia upolisi kwa kutumia vyeti vya kidato cha nne vya watu wengine!!!
Sasa hawa najua zoezi la uhakiki litawaacha salama maana vyeti vyao ni halali,ila kiuhalisia hata elimu kamili ya msingi hawana.!!!!
Mmoja aliyetoa cheti chake nasikia alilalamika baada ya kusikia jina lake linatumiwa na polisi huko Mpanda lakini alishindwa namna ya kufika huko maana yeye hana kazi.
 
Daah kweli tamaa mbaya jaman,,ningeweka tamaa mbele na mimi leo yangenikuta haya ya vyeti feki,,lakini nikavumilia kuendelea kutumia cheti cha darasa la saba hadi leo napeta serikalini na mshahara wangu wa 1.04m,, wala siisomi namba.Kwaheri ya kuonana wasomi feki makazini
 
wasio kwenye ajira na wanavyeti halali ni wengi sana kuliko waliobainika kuwa na vyeti vya kikolomije.
Wana ujuzi si wa sasa wanaiba mitihani/wanahonga wanapata marks za bure wanapasishwa.! Ngoja waje wachanganye damu groups!
 
Mtuhumiwa anapotiwa hatiani kabla hakimu hajaangusha hukumu hukumu anapewa nafasi ya kuelezea/kuomba nafuu.Wengi tunawasikia wakisema 'Ni kosa langu la kwanza naomba nisamehe" wengine "nina ugonjwa nakunywa dawa" na hata wengine wanataja ukubwa wa familia zao.

Tumekamatwa na kosa la kufoji vyeti na hili ni kosa kwa mujibu wa sheria ila ili tusaidiane katika kuomba nafuu kwa HAKIMU naomba tuangalie scenario tofauti,mimi natoa moja.

"Nilimaliza darasa la saba na nikawa nafanya kazi katika maabara ya magonjwa ya binadamu.Ilipofika mwaka 1992 nikapata nafasi ya kwenda kusoma lab assistant Singida na kuanzia hapo nimefanya kazi sehemu mbalimbali mpaka kufikia ku operate machine za biochemistry na Haematology.Pia nina uwezo wa kuafanya Gram stain,ZN stain na mengine mengi.
Ilipofika mwaka 2013 nikawa na nia ya kuchukua Diploma Muhimbili na hapo ndipo nilipoingia mtegoni kwani ilibidi niwe na cheti cha kidato NNE.Niliingia na nikamaliza Diploma kwa kufaulu vizuri kabisa na kwa sasa nafanya katika mradi mmoja wa utafiti wa Kimataifa ingawa ajira ndio hiyo imesitishwa jana"

Hi ni scenario mojawapo kati ya nyingi na naomba mnisaidie,
  • Je mtu huyu anayo haki ya kutumia certificate yake?
  • Vipi michango katika hifadhi ya jamii?
Naomba waungwana ambao wanawaza na kuona mbali tuchangie tukichukulia uhalisia wa nchi na upungufu wa kwenye mfumo.Kwa wale amabao walishatoa hukumu na wengine kufikia kusema ingekuwa China wangeshauawa wauache uzi huu.
Mkuu kugushi ni dhambi mbaya kuliko unavyofikiri wewe, tatizo ni kwamba anaegushi cheti na kufanikisha hilo huwa haishii hapo, kwa kuwa anakuwa ameshapata experience na kuenjoy "faida" za short cut. Unapoingia kazini na uzoefu wako wa kugushi unakutana na changamoto ya kazi nyingine ngumu na pia msongamano wa kazi nawe bila kupepesa macho unaweza kuamua kuchukua short cut hizo hizo "kumalizana" nazo bila kujali athari zinazoweza kujitokeza,na hasa kwenye proffession yako hiyo ni ukakasi mtupu; Mfano unaweza kuingia maabara kwako ukakutana na wagonjwa wengi katika msimu kama huu wa masika walioandikiwa kucheck damu kuchunguza uwepo wa vimelea vya malaria nawe kwa uvivu wako ukaamua kuchukua short cut na kuanza kugushi majibu ya vipimo vyao bila hata kufanya uchunguzi....ni wazi kwa wale uliowagushi kuwa hawana malaria wakati wana malaria watarudi nyumbani wakijipa moyo hawana malaria na madhara yatakuwa ni makubwa kwao.
ANAYEGUSHI NI JIPU NA DAWA YAKE NI KUTUMBULIWA TU,NO MATTER THE SCENARIO.
 
"Cheti cha kuzaliwa ni majina yangu,cheti cha form four nilitengeneza mahali,diploma ina majina yangu matatu"

Certificate pia ina majina yako halali?, hicho chuo (MUHIMBILI )ulichosoma ulikuwa huwezi kuingia kwa Certificate bila Cheti cha form four?

All in all, haijulikani kwa sasa kama wote walioingia vyuoni kwa vyeti vya uongo Shahada au Diploma zao zitafutwa au hazitatambulika, lakini kwa hapo unaweza kuomba na kupata kazi kwa kutumia Certificate na Diploma kwa sababu ni vyeti vinavyopandana kimtiririko,
ila kwa sasa umeshapoteza kazi na haki zako itakuwa ngumu kuzipata kwa sababu tayari una kesi ya kugushi cheti cha form4
 
"Cheti cha kuzaliwa ni majina yangu,cheti cha form four nilitengeneza mahali,diploma ina majina yangu matatu"
Wewe ni muungwana sana maana leo hapa hadharani unakili kwamba kidato cha nne ulihitimu shule ya sekondari stationary,,,na diploma yako muhas,,nakuombea upate kazi huko private sector serikalini waachie wenyewe,kuhusu pensheni hyo ujifanye kama hukuwahi kuajiriwa au ile mishahara uliyoibonda ndo iwe pensheni yako
 
Inategemeana na baraza la wasanifu wa maabara kama wataamua kuwanyang'anya leseni amma la. Kama unayo leseni unaweza kuendelea ku practice ila bila leseni itakuwa ngumu.


- Kuhusu mafao nadhani asilimia 95% hamtapata maana Magufuli alisema ninyi ni MAFISADI na MAJIZI na huwa mnajifanya WAJANJAA. So tafuteni namna maisha yaendelee
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Certificate pia ina majina yako halali?, hicho chuo (MUHIMBILI )ulichosoma ulikuwa huwezi kuingia kwa Certificate bila Cheti cha form four?

All in all, haijulikani kwa sasa kama wote walioingia vyuoni kwa vyeti vya uongo Shahada au Diploma zao zitafutwa au hazitatambulika, lakini kwa hapo unaweza kuomba na kupata kazi kwa kutumia Certificate na Diploma kwa sababu ni vyeti vinavyopandana kimtiririko,
ila kwa sasa umeshapoteza kazi na haki zako itakuwa ngumu kuzipata kwa sababu tayari una kesi ya kugushi cheti cha form4
Angalau hapa nimepata kitu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom